Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Civilization imeanzia pwani na kusambaa huko bara barani.
Pia reflect sasa hapa nchini mwetu companies na viwanda vikubwa vinamilikiwa na waislam.
 
Muislamu ni nani?

Kusoma na kuandika ni utamaduni.

Literacy.

Waislamu wengi hata leo hawajui kusoma na kuandika na tunaambiwa hata mtume Muhammad hakujua kusoma wala kuandika.
Muislam akilima mahindi ni uislam umelima mahindi,akizini uislam umezini!?
 
Uislam umeleta umaskini.
Maeneo yote yaliyoenezwa uislam na uarabu ndio Yako nyuma kimaendeleo, nenda pangani, Kilwa, mji mkongwe, Bagamoyo na kwingineko.
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Somo la History ni muhimu sana linaepusha maswali ya kijinga kama haya. Inashangaza serikali kutolifanya somo la lazima.
 
Muislam akilima mahindi ni uislam umelima mahindi,akizini uislam umezini!?
Si ndiyo nyie mnasema uislam ni mfumo kamili wa maisha toka unaamka mpaka unalala? Toka unazaliwa mpaka unakufa? Shida iko wapi wakisema hivyo?
 
Uislamu (wa mtume Muhammad) umeondoa Giza ya kiroho na kuleta mwanga wake mkuu.
Umefuta upagani ulioingizwa katika UKIRISTU.
Na kuwafundisha WAYAHUDI kuwa Yesu ni nabii wa kweli.
Na ukawafundisha mataifa mengi juu ya Mwenyezi Mungu mmoja na wa kweli.
 
Si ndiyo nyie mnasema uislam ni mfumo kamili wa maisha toka unaamka mpaka unalala? Toka unazaliwa mpaka unakufa? Shida iko wapi wakisema hivyo?
Muislam akilima mahindi ni uislam umelima mahindi!?
 
Hao Makafiri kwanini wasikimbilie Ujiji Kigoma walipojaa Waarabu koko na Waislam kibao!? Hao unaowaita makafiri hapa Dar hawajawafata Waislam ila walifata fursa ya kijiografia ya eneo hili ambayo hao wenyeji (waislam) hawakuitumia. Kwa maana nyingine makafiri ndo wameleta hayo maendeleo unayojivunia
Aisee akiweza kujibu hili swali lako usisahau kunitag
 
Civilization imeanzia pwani na kusambaa huko bara barani.
Pia reflect sasa hapa nchini mwetu companies na viwanda vikubwa vinamilikiwa na waislam.
Vipi kuhusu matajiri 10 wa duniani ni Waislam


Vipi kampuni 10 Bora Kwa Market Cap kubwa ni za kiislam?


Vipi nchi zenye uchumi mkubwa duniani ni za kiislam?
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Misikitii Mkuuu na urithi wa Mabikiria 72 wakifa mkuuu
 
Usingemjibu mjinga ukilumbana nae nawe unakua mjinga yy lengo ni kutukana watu sasa mwache hawezi kukaa live wiki nzima atachoka sasa muulize hizi nyuma wanazoishi waislamu sisi tumejengewa na ukristo kwa mawazo yake ukristo ni alfa na omega mwacheni huko huko
Hawezi kulazimisha kitu ambacho sio kiumbe hai kifanye mambo kama kiumbe hai. Hivi vitu haviwezi kuulizwa vimefanya nn mana sifa ya kutenda au kufanya ni ya kiumb3 kinachoishi.

It was only challenge any way
 
Back
Top Bottom