johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Nauliza kwa wale abiria wenzangu wa Tanga Moshi Arusha ile treni yetu iliyozinduliwa na Mh Polepole (MB) bado ipo?
Naomba majibu Tafadhali huu ni wakati wa kujipanga December imekaribia.
Sabato njema!
Naomba majibu Tafadhali huu ni wakati wa kujipanga December imekaribia.
Sabato njema!