Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kila mradi ulianzishwa kwa kutafuta kiki tuAnayejua treni ya Mwakyembe inapita route zipi mjini Daresalama anijuze tafadhali
Kila mradi ulianzishwa kwa kutafuta kiki tuAnayejua treni ya Mwakyembe inapita route zipi mjini Daresalama anijuze tafadhali
Nyie wa Lindi na Ntwara MV Maendeleo bado inakuja?Habari za Polepole kamuulize yeye mwenyewe au sukuma gang wenzenu
Umerogwa weweHaha hahah....unanikumbusha wakina Mangi na Manka walivyofurika na kuligombea kama Waha na wamanyema wa Kigoma!
Pole sanaNyie wa Lindi na Ntwara MV Maendeleo bado inakuja?
Hahahaaaa........!Halafu Polepole anafundisha shule ya Uongozi kama ameshindwa kuisimamia hii route moja tu ya Dar Moshi ataweza kuaminika kufundisha watu uongozi. Pia aulizwe na SABAYA.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Bwashee fanya utafiti utujulishe.Mbona kama nasikiaga honi kila saa nne town naambiwa treni hiyo imefika,
Yule alikuwa anajiendea tu mradi anapata sifa basi. Mungu muache aitwe mungu.Awamu ya 5 ilishindwa kutengenisha kipi cha kufanyika kisiasa na kipi ni cha kufanyika kitaalamu, vitu vyote vilifanyika kisiasa, matokeo yake kila kilichofanyika kisiasa kimeenda na mwendazake, mfano halisi ni vitambulisho vya wamachinga pamoja na SGR.
Naambiwa hapa inaingia Chuga Jumanne na Jumamosi MkuuBwashee fanya utafiti utujulishe.
Lazima haina namnaKwanini bwashee?
Wewe huendi kutambika!!!
Ahsante bwashee.Naambiwa hapa inaingia Chuga Jumanne na Jumamosi Mkuu
Hata humu Polepole yumo!Sasa unatuuliza sisi tukusaidieje ?
Muulize pole pole kwenye magroup yenu huko ya WhatsApp maana ndiye alikua engineer wa kununua watu na kulipa buku 7 kikundi chenu cha mapambio kiitwacho MATAGA
Msimtibue slow mwisho atahamisha na trauma kabisa🤸Nauliza kwa wale abiria wenzangu wa Tanga Moshi Arusha ile treni yetu iliyozinduliwa na mh Polepole ( MB ) bado ipo?
Naomba majibu Tafadhali huu ni wakati wa kujipanga December imekaribia.
Sabato njema!
Akae pembeni😂Atake asitake tutamlazimisha🤣
Hahahaaaa.......!Msimtibue slow mwisho atahamisha na trauma kabisa🤸
Ni kweli maana treni yenyewe haikuwepo. Walikuwa wanapanda ungo.( akili za watanzania wenzetu wengine bwana utadhani walizaliwa kwenye vyoo vya sokoni)Ile ilikuwa janja ya jini jiwe kujivika umaarufu. Shetani yule alikuwa na akili ya kifutuhi sana
Possible mzee. Hii nchi ilioza. Umesahau twiga walishawahi kupandishwa ndege.Ila jiwe apumzike huko aliko eti vichwa vya tren vikaokotwa TZ vituko ni vingi sana