Hivi Rais Samia yuko serious kweli katika kuunda Kamati Maalumu ya Corona? Mbona haoneshi mfano wa kutilia maanani ugonjwa huu?

Rais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!

Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.

Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.

Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.

Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.

Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?

Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.

Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.

Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.

Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.

Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?

Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?

Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?



Unafiki ni tabia ya mtu!
 
Sawa.

Hujaona kama Amina na Samia wamepeana bahasha with their bare hands?

Kulikuwa na social distancing hapo?
Sasa; kama mwenzake alichukuwa tahadhari tangu mwanzo, bahasha haina shida Mkuu.
Na kama alienda kunawa vizuri basi hatari ya maambukizi inapungua zaidi...
 
Kama maombi yaliimaliza corona, kamati maalum ya Bi. Samia ni ya nini sasa? Kula hela?
Kamati ni muhimu sana Mkuu... Tanzania is not an island. Lazima turudi tushirikiane na mataifa mengine. Kama kuna tahadhari za WHO tuzifuate kikamilifu...
Wengine ishaanza kuwa ngumu kusafiri kwenda nchi za nje kikazi... Unaambiwa huna Covid vaccine usijiangaishe...
Hivi ushawahi kukutana na madhila ya chanjo ya Yellow fever? Basi hii ya Covid ishaanza kuwa official.
Kamati ni muhimu sana... Nategemee itatoa muongozo wa Kisayansi zaidi na tutarejea duniani kuishi na kujamiiana na wengine...
We are part of a bigger world! Citizens of the world
 
Rais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!

Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.

Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.

Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.

Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.

Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?

Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.

Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.

Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.

Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.

Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?

Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?

Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?

Watanzania hatutaki ma Barakoa jamani mbona hamtuelewi tu!? Kama kufa tutakufa tu kwa wakati wetu wa kifo!!
 
Wananichokoza, mm nina machungu yangu afu mtu anakuja kunivuruga na mm namvuruga.sijamaliza msiba

Embu subiri, afu sijawahi wekwa jela😂😂😂 wewe ni mzoefu wa jela za jf.
Wakikupeleka jela nitafute nikupe mbinu za kuishi huko jela...
 
Rais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!

Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.

Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.

Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.

Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.

Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?

Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.

Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.

Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.

Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.

Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?

Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?

Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?


Mbona magufuli ulikuwa umuandami kwanini avai barakoa??! Mnafiki mkubwa, mmeumia sana mama kuwa Rais wasukuma, mlitaka nchi apewe Chenge naona
 
Rais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!

Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.

Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.

Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.

Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.

Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?

Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.

Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.

Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.

Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.

Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?

Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?

Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?

Jiwe alidharau lkn matokeo yake hakuyashuhudia
 
Covid 19 ni issue ya diplomacy mzee.

Hiyo kamati ikisha ushaur ndio ataamua avae barakoa au asivae.

Too early to judge her on minors
Huyo hawezi kumsapoti rais Samia maana alimuindoa Bashiru ambaye chawa walitegemea abakie msaidizi wa rais ili aendeleze utawala wa jiwe
 
Back
Top Bottom