Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
- Thread starter
- #41
Ma mkubwa....taratibu. Usije kupelekwa jela ya JF kama apelekwavyo baba 😉Kwendraaaaa zako nanina.
Ma mkubwa....taratibu. Usije kupelekwa jela ya JF kama apelekwavyo baba 😉Kwendraaaaa zako nanina.
Rais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!
Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.
Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.
Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.
Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.
Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?
Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.
Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.
Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.
Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.
Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?
Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?
Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?
Sasa; kama mwenzake alichukuwa tahadhari tangu mwanzo, bahasha haina shida Mkuu.Sawa.
Hujaona kama Amina na Samia wamepeana bahasha with their bare hands?
Kulikuwa na social distancing hapo?
Haya...Sasa; kama mwenzake alichukuwa tahadhari tangu mwanzo, bahasha haina shida Mkuu.
Na kama alienda kunawa vizuri basi hatari ya maambukizi inapungua zaidi...
Mataga ndio mtupe jibuKama maombi yaliimaliza corona, kamati maalum ya Bi. Samia ni ya nini sasa? Kula hela?
Wananichokoza, mm nina machungu yangu afu mtu anakuja kunivuruga na mm namvuruga.sijamaliza msibaMa mkubwa....taratibu. Usije kupelekwa jela ya JF kama apelekwavyo baba 😉
Si Samia tu.Samia hajifunzi kwa Marehemu, mwache aje ashuhudia Dr Mpango akipiga jalamba huku yeye akiwa kwenye ventilator
Kamati ni muhimu sana Mkuu... Tanzania is not an island. Lazima turudi tushirikiane na mataifa mengine. Kama kuna tahadhari za WHO tuzifuate kikamilifu...Kama maombi yaliimaliza corona, kamati maalum ya Bi. Samia ni ya nini sasa? Kula hela?
Kuna report original itatoka hata baada ya 2025Matusi hayasaidii... CAG atazidi kuwaanika sana nyie Sukumagangs.
Mlijivika vazi la uzalendo kumbe wezi zaidi ya wezi
Watanzania hatutaki ma Barakoa jamani mbona hamtuelewi tu!? Kama kufa tutakufa tu kwa wakati wetu wa kifo!!Rais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!
Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.
Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.
Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.
Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.
Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?
Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.
Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.
Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.
Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.
Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?
Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?
Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?
Yule alijitakia mwenyewe... Alikuwa mgonjwa mzoefu kabla hata ajaenda kusoma UDSM... Covid isingemuacha salama!Samia hajifunzi kwa Marehemu, mwache aje ashuhudia Dr Mpango akipiga jalamba huku yeye akiwa kwenye ventilator
Wakikupeleka jela nitafute nikupe mbinu za kuishi huko jela...Wananichokoza, mm nina machungu yangu afu mtu anakuja kunivuruga na mm namvuruga.sijamaliza msiba
Embu subiri, afu sijawahi wekwa jela😂😂😂 wewe ni mzoefu wa jela za jf.
Jitihada za kuzuia Uhuru wa habari unawaweka pabaya zaidi... Kama uzalendo mngeweka kila kitu wazi... Rejea kitabu cha BW. MkapaKuna report original itatoka hata baada ya 2025
Rais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!
Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.
Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.
Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.
Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.
Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?
Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.
Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.
Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.
Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.
Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?
Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?
Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?
Jiwe alidharau lkn matokeo yake hakuyashuhudiaRais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!
Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.
Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.
Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.
Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.
Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?
Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.
Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.
Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.
Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.
Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?
Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?
Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?
Mbona hukuwahi kuuliza hili swali kwa jiwe?
Go tell that to the birds 🦅Jiwe alidharau lkn matokeo yake hakuyashuhudia
Huyo hawezi kumsapoti rais Samia maana alimuindoa Bashiru ambaye chawa walitegemea abakie msaidizi wa rais ili aendeleze utawala wa jiweCovid 19 ni issue ya diplomacy mzee.
Hiyo kamati ikisha ushaur ndio ataamua avae barakoa au asivae.
Too early to judge her on minors
Umempatia sana kwa jibu ambalo hakutegemeaKweli kabisa.
Watanzania wengi wanapenda kusikia maneno yawapendezayo bila kupima ukweli wake...