Sumti
JF-Expert Member
- Jan 30, 2016
- 2,306
- 2,143
But you areWTF is this????!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But you areWTF is this????!!!
Vipi rungu limekupenya kunako?Unawashwa sana aisee
And you isBut you are
Ni swali..!Unauliza swali au unatoa kauli?
Mbona hukuweka alama ya kuuliza?Ni swali..!
Waberoya umepotea sana ndugu..pole na kuondoka kwa jiwe..nadhani nawe utakiri sasa jiwe lilikua ignorant sana kwenye haya maswala ya covid-19....hata kama wanasema hii haikuwa cause of death...stupid
Kamati ni muhimu sana Mkuu... Tanzania is not an island. Lazima turudi tushirikiane na mataifa mengine. Kama kuna tahadhari za WHO tuzifuate kikamilifu...
Wengine ishaanza kuwa ngumu kusafiri kwenda nchi za nje kikazi... Unaambiwa huna Covid vaccine usijiangaishe...
Hivi ushawahi kukutana na madhila ya chanjo ya Yellow fever? Basi hii ya Covid ishaanza kuwa official.
Kamati ni muhimu sana... Nategemee itatoa muongozo wa Kisayansi zaidi na tutarejea duniani kuishi na kujamiiana na wengine...
We are part of a bigger world! Citizens of the world
Sofa mpya QualityTukianza tu maswala ya chanjo kwisha habari yetu
Wee unataka atoe mipovu kama yule Jamaa yenu ndio ujue yuko serious?Rais wetu huyu mpya majuzi katangaza kuwa ataunda sijui kamati ya Corona!
Bado sijaelewa hasa lengo na madhumuni ya hiyo kamati yatakuwa ni yepi.
Sasa ni zaidi ya mwaka na ushee tokea dunia ikumbwe na hili janga.
Kwa jinsi mwelekeo wa hali unavyoonekana, janga hili ni kama vile linaelekea elekea ukingoni sasa hususan baada ya upatikanaji wa ‘chanjo’.
Licha ya hivyo, nadhani kwa sasa nitakuwa sawa nikisema kuwa ‘tunajua’ kiasi cha kutosha kuhusu ugonjwa huo.
Sasa, kama kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuunda kamati ya corona, kwa nini mpaka sasa walau haonyeshi mfano kuwa kweli anautilia maanani ugonjwa huo kwa kuzingatia hata zile tahadhari zilizo za msingi kama kuvaa barakoa na kukaa ama kusimama mbalimbali na watu?
Leo kampokea waziri Amina Mohammed kutoka Kenya aliyekuwa katumwa na Rais Kenyatta.
Bi. Amina kaingia ikulu ya Dar akiwa amevaa barakoa. Samia yeye hakuwa kavaa.
Waziri Mulamula naye mwanzoni alionekana kavaa.
Baadaye wote walipokuwa wanaongea na waandishi wa habari, wote wakaonekana hawajazivaa.
Hivi ni kweli Rais Samia yupo serious au alikuwa anaongea tu siku ile ili kuridhisha baadhi ya watu kwa maneno tu lakini hakuwa na nia ya dhati kuonyesha kimatendo kuwa anamaanisha anachokisema?
Yeye kama raia namba moja si ndo anapaswa kuonyesha mfano wa kimatendo, au nakosea?
Au Watanzania walio wengi hawana muda na matendo bali wanapenda tu kusikia maneno yawapendezayo masikioni mwao?
Mbona sijazungumzia mapovu!!Wee unataka atoe mipovu kama yule Jamaa yenu ndio ujue yuko serious?
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Usimchurie madame President.Shauri yake, soon na yeye tutamzika. Mtu yupo kwenye risk namna hii, ila hachukui measures za kujikinga. Mpango atakuwa Rais soon very soon.
Mpango ndiye anaanza kuondoka.Ataanza Ndugai kisha Mpango halafu atafuata Mama.Shauri yake, soon na yeye tutamzika. Mtu yupo kwenye risk namna hii,ila hachukui measures za kujikinga. Mpango atakuwa Rais soon very soon.
Naninaaaa kabisaKwendraaaaa zako nanina.
Ndio mpango uliochorwa?Mpango ndiye anaanza kuondoka.Ataanza Ndugai kisha Mpango halafu atafuata Mama.
🤣🤣🤣Ndio mpango uliochorwa?
Sio uje tuishi wote jela?🙈🙈 kwa kipindi hicho?Wakikupeleka jela nitafute nikupe mbinu za kuishi huko jela...