Wazee wenzangu (mabibi na mabwana),
Natumaini mko wazima kabisa.
Mimi ni mwanaume, na nafikisha miaka 30 this year.
Unajua kwenye maisha kuna mambo mengi tunafanya kwa kukusudia yawe mazuri au mabaya, ila mara nyingi tunajutia yale mabaya.
Najuta sana kuwa addicted na Bia, na ninaona kabisa ni adui yangu ila haipiti siku bila kuuweka, this hurts me sana.
Kuna aliyeweza kuacha bia kabisa na aliwezaje?. Natamani niache, chaah! this too much.
NB: Ushauri wa kukaa mbali na vishawishi au mbali na washkaji nishajaribu na haujafaa, maana kiu ya bia hatari sana. Hata ukikaa mwenyewe utaitafuta.
Hongera ndugu ,Mimi niliwahi kuwa kama wewe nilianza kunywa bia nikiwa high school nikawa mnywaji wa kudumu nikiwa chuo kuna kipindi nilikua siwezi kupitisha siku sijanywa.
Nilifika hatua nikawa natetemeka yani miaka 29 lakini tayari nimekua mnywaji nikiyekubuhu sasa how niliacha hapa ndipo palinitesa sana.
Nilianza kupunguza kwenda maeneo niliyopendelea kwenda sana nikawa nakunywa bia 3 kila baada ya siku mbili lakini kinywaji changu kikubwa kilikua malta na maji aisee nilikua nakunywa maji vibaya sana.
Nikafanikiwa kuwa nakunywa bia 3 kwa wiki sasa nikaanzisha saving kwa ajili ya kufanikisha jambo flani nilifanikiwa kutoigusa Bia muda sana hatimae nikafanikiwa kabisa kuto gusa bia kwa takriban miezi minne nikawa nikitoka na washkaji nakunywa tonic water mwisho nikazoea hali yangu nikawa naona kawaida kabisa.
Nikashinda mwisho nikawa nimefanikiwa na mpaka leo nasikia watu wanakunywa so sasa naitawala na sitaki itawale mwili wangu tena so far tangu mwaka jana mwezi wa pili mpaka leo sijagusa pombe
So nikwambie inawezekana but you need very high burning desire
Ingawa nina kama mwezi tu sijanywa ila nimedhamiria kutokunywa kabisaAddiction!! Pombe ni kama madawa ya kulevya tu huwa wanapunzika tu.
Kwanini? Wengine kama mimi yakipita masaa 12 bila kuonja bia naugua kaswende.Haipiti siku bila kunywa? Duuh wewe ni tatizo.
Kaabiiisaa mkuuuAisee pombe acha tu, ilifika mahali nikinywa namuota marehemu mamaangu ananionya kwamba " mwanangu acha pombe unaelekea kubaya" nikiamka napatwa na uchungu nakaa kitandani nalia weeee!! Halafu naenda kazini,
Kuna kipindi kikafika mizimu yangu ikagoma kuwa nisijaribu tena pombe, nikaacha nilikuja kujaribu ikawa kero nikaacha mazimaaa!!
Pombe sio jambo la maana ikikuzidi ni utumwa, unaweza kuharibu future yako kizembe sana.
Na wewe ni tatizo vile vile, hutakiwi kuwa mtumwa wa kitu.Kwanini? Wengine kama mimi yakipita masaa 12 bila kuonja bia naugua kaswende.
Mkuu INAWEZEKANA KABISA kama UKIAMUA.Wazee wenzangu (mabibi na mabwana),
Natumaini mko wazima kabisa.
Mimi ni mwanaume, na nafikisha miaka 30 this year.
Unajua kwenye maisha kuna mambo mengi tunafanya kwa kukusudia yawe mazuri au mabaya, ila mara nyingi tunajutia yale mabaya.
Najuta sana kuwa addicted na Bia, na ninaona kabisa ni adui yangu ila haipiti siku bila kuuweka, this hurts me sana.
Kuna aliyeweza kuacha bia kabisa na aliwezaje?. Natamani niache, chaah! this too much.
NB: Ushauri wa kukaa mbali na vishawishi au mbali na washkaji nishajaribu na haujafaa, maana kiu ya bia hatari sana. Hata ukikaa mwenyewe utaitafuta.
Nilianza pombe 2000 hadi kufikia 2010,siku ambazo sikunywa pombe hazizidi 5,
ha ha ha,
leo ni miaka 6,tangu 2012 sijaweka pombe mwilini,
inahitaji uamzi tu,
na lazima uteseke kwa miezi miwili mitatu wakati alicohol ikitoka ndani ya mwili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi sikuacha kihivyo ila nilizisusa tu baada ya kuzifakamia harusini na kujikuta kulewa na kutapika mpaka nikajinyea. Baada ya hapo nikasema sinywi tena pombe na mwaka wa 6 sasa.
Umeacha au umepumzika mkuu?Kama umeacha toa mbinuMbona mi nimeacha tangu August mwaka jana
Binafsi nlikua nakunywa sana pombe lakini sikuwa naona faida yoyote. Nalewa...hangover kichwa kinauma. Nalewa....nikasema hivi napata faida gani.Umeacha au umepumzika mkuu?Kama umeacha toa mbinu