Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 4,505
- 9,966
G
Ntaacha tu brotherHuwezi kuacha labda ufe! Nina uhakika na nikisemacho
Hongera, ilikuwaje brotherMbona mi nimeacha tangu August mwaka jana
Ilikuwaje?interesting na.mnanipa MoyoMwaka wa 15 huu nimeacha..Maamuzi tu..Na usivikimbie vishawishi
How was it started brother.... [emoji16][emoji16][emoji16] na mm ntawezaNina miaka mitano inaenda sita, Nimeacha tungi Mungu mkubwa sana duh ilikua ni kwerekweche
Kuna dawa nili kunywa niliwekewa ktk pombe konyagi bapa ndogo, ilikua usiku nika lala vzr tu asbh nilitapika nyongo sana tena sana toka siku hayo sina hamu ya pombe tenq. Na nilikua ni gari ya pombe hadi leo nina kaa na jamaa zangu wana kunywa na mimi nina wa nunulia wana shangaa mimi sinywi. Nilikuaga nimekata tamaa kabisa kuwa mm pombe siezi acha kumbe ina wezekanaHow was it started brother.... [emoji16][emoji16][emoji16] na mm ntaweza
Naitaka hii mzee, ngoja nije pmKuna dawa nili kunywa niliwekewa ktk pombe kinyagi bapa ndogo, ilikua usiku nika lala vzr tu asbh nilitapika nyongo sana tena sana toka siku hayo sina hamu ya pombe tenq. Na nilikua ni gari ya pombe hadi leo nina kaa na jamaa zangu wana kunywa na mimi nina wa nunulia wana shangaa mimi sinywi. Nilikuaga nimekata tamaa kabisa kuwa mm pombe siezj acha kumbe ina wezekana
Maamuzi tu na kusema sitaki tena pombe. Pia jaribu kujitenga na washikaji wanywaji wanapokuita au kama mnaenda kwenye pombe.Hongera, ilikuwaje brother