figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,560
- 62,126
Bohari Kuu ya Dawa Tanzania (MSD) imesema ipo mbioni kuleta dawa ya kusaidia kuacha pombe, ili kusaidia wenye changamoto ya uraibu wa pombe.
Meneja wa MSD Kanda ya Dodoma, Mwanashehe Jumaa amesema dawa hizo zitatibu uraibu wa pombe na si sigara.
MY TAKE:
Viwanda vya pombe ndo vinaongoza kwa kulipa Kodi. Je, MSD imedhamiria kumhujumu Samia?
Bado naamini hizo dawa zita-expire zikiwa Store. Nani kawaambia tunataka dawa?
Bora mnngeshauri wanywe Baltika
Meneja wa MSD Kanda ya Dodoma, Mwanashehe Jumaa amesema dawa hizo zitatibu uraibu wa pombe na si sigara.
MY TAKE:
Viwanda vya pombe ndo vinaongoza kwa kulipa Kodi. Je, MSD imedhamiria kumhujumu Samia?
Bado naamini hizo dawa zita-expire zikiwa Store. Nani kawaambia tunataka dawa?
Bora mnngeshauri wanywe Baltika