Hivi nani aliweza kuacha pombe kabisa?

Hivi nani aliweza kuacha pombe kabisa?

kweli ukiwa maji lazima upate demu hata akiwa anakusumbua vipi, na kuna mda inakupa kujiamini sana. sema sasa ikikuzidi utaisoma namba na kingine heshima huwa ina shuka kwa jamii tofauti inayo kuzunguka. NA KIKUBWA HARUFUUUUUUUUUUUU
Hahaaa yaani ukilala ukiamka mdomoni kama chooni yaani
 
kweli ukiwa maji lazima upate demu hata akiwa anakusumbua vipi, na kuna mda inakupa kujiamini sana. sema sasa ikikuzidi utaisoma namba na kingine heshima huwa ina shuka kwa jamii tofauti inayo kuzunguka. NA KIKUBWA HARUFUUUUUUUUUUUU
Ila mkinywa wote na demu akiwa tungi, yaani denda jambo la kawaida sana!!
Yaani kama nilinusurika na ngoma enzi za tungi basi MUNGU anirehemu
 
Dawa ya kuacha pombe ni maziwa freshi ya ng'ombe,
Dozi: kunywa vikombe 3 asubuh, na jioni vikombe 2 kabla ya kula, na kikombe kimoja baada ya kula (dinner) kila siku, after 7 days, hata ukilala TBL hunywi kamwe!
 
Mkuu me tutakaa bar mpaka usiku lakini hunikuti nalewa!!..Nikimaliza Malta au soda naagiza Bavaria depends na Bar tuliyopo!.
hongera mi siwezi kaa usiku bila kunywa lazima nitupie na usiombe nikiwa na pesa
 
Ila mkinywa wote na demu akiwa tungi, yaani denda jambo la kawaida sana!!
Yaani kama nilinusurika na ngoma enzi za tungi basi MUNGU anirehemu
haahahaha hebu nipe story kidogo maana mi mwaka jana imenikuta hadi leo sijaenda kupima.
 
Wazee wenzangu (mabibi na mabwana),
Natumain mko wazima kabisa..

Mim Mwanaume, na Nafikisha miaka 30 this year,.

Unajua kwenye maisha kuna mambo meng tunafanya kwa kukusudia yawe mazuri au mabaya, ila mara nyingi tunajutia yale mabaya...

Najuta sana kuwa addicted na Bia, na ninaona kabisa ni adui yangu ila haipit siku bila kuuweka, this hurts Me sana...

Kuna aliyeweza kuacha bia kabisa na aliwezaje?. Nataman niachee, chaah! this too Much

NB: ushaur wa kukaa mbali na vishawishi au mbali na washkaj nishajarib na haujafaa, maana kiu ya bia hatar sana,. Hata ukikaa.mwenyewe utaitafuta.

Pole sana...mie niliacha tangu 2013 hadi leo sijatumia kilevi chochote. Inawezekana kabisa
 
Dawa ni KUOKOKA na kuwa na nguvu ya Mungu yote utayasahau,mimi ilinitesa sana pombe lakini nilivyochukua hatua,sijawai tena hata kulamba huu ni mwaka wa 13 na sina hata hamu yake hata kidogo.Nimesahau kama kuna kitu kama hamu ya pombe.
 
Mimi niliacha baada ya kuiba beer ya jamaa ambao nilikuwa nawavizia baa. Ni hivi, jamaa walikuwa wamechfua meza yao na beer za kila aina, mimi baada ya kuona vile nikaone gere. Jamaa walivyotoka kwenda kudansi nikachukua beer 3 na kuficha. Nikafungua moja na kunywa haraka haraka kumbe ilikuwa imetemewa makohozi na mimate pamoja na vipisi vya sigara humo....nikatapika na kuacha kabisa kunywa pombe toka mwaka 1995 na mpaka leo hiii nikisikia tu jina la pombe nawashwa mwili mzima.
 
Kuna dawa nili kunywa niliwekewa ktk pombe konyagi bapa ndogo, ilikua usiku nika lala vzr tu asbh nilitapika nyongo sana tena sana toka siku hayo sina hamu ya pombe tenq. Na nilikua ni gari ya pombe hadi leo nina kaa na jamaa zangu wana kunywa na mimi nina wa nunulia wana shangaa mimi sinywi. Nilikuaga nimekata tamaa kabisa kuwa mm pombe siezi acha kumbe ina wezekana
Mkuu nakuja pm
 
Wazee wenzangu (mabibi na mabwana),
Natumain mko wazima kabisa..

Mim Mwanaume, na Nafikisha miaka 30 this year,.

Unajua kwenye maisha kuna mambo meng tunafanya kwa kukusudia yawe mazuri au mabaya, ila mara nyingi tunajutia yale mabaya...

Najuta sana kuwa addicted na Bia, na ninaona kabisa ni adui yangu ila haipit siku bila kuuweka, this hurts Me sana...

Kuna aliyeweza kuacha bia kabisa na aliwezaje?. Nataman niachee, chaah! this too Much

NB: ushaur wa kukaa mbali na vishawishi au mbali na washkaj nishajarib na haujafaa, maana kiu ya bia hatar sana,. Hata ukikaa.mwenyewe utaitafuta.

Hizo njia zote unazoshauriwa zikishindikana uniambie. Mimi sio pombe tu hadi sigara niliacha.
 
Niliacha kabisa. Na sasa situmi kilevi chochote iwe pombe, sigara wala dawa za kulevya. Sikushawishiwa na yeyote, nilifanya maamuzi mwenyewe japo ilinichukua muda kidogo na jitihada sana.
Sasa nina uwezo wa kukaa Bar na wanywaji kwa zaidi ya masaa manne bila kuhisi uhitaji wa kilevi na bado nikafurahia maisha.

Sijui tu zile hela nilizokuwa nakunywa nazo ziko wapi siku hizi
 
Mwaka wa 15 huu nimeacha..Maamuzi tu..Na usivikimbie vishawishi
Face them head on, na ndipo utakomaa. Ukivikimbia utakuwa haujaacha bali unekwepa tu, siku ukifumaniana navyo unaliendeleza tena kwa spidi ya ajabu
 
kweli mkuu kuna mda ina kupeleka bila hata kutaraji, imenikosa kosa sana na kifo sema nilijitaidi kulaa kuna mda nilikuwa nagongaa BANANA kama maji hadi wazee wananiogopa maana tokea asubuhi hadi jioni niko eneo la tukio na hapo bado niko fit ila ikaja ku kwangu utubo achaaa sema saizi nimetulia kwanza
Raha Banana wanaiita Nax. Ile ya Ulomi ya miaka ya 2000 hivi mpaka 2004 chini ya chupa lazima ukute uji na majani ya mgomba
 
Wazee wenzangu (mabibi na mabwana),
Natumain mko wazima kabisa..

Mim Mwanaume, na Nafikisha miaka 30 this year,.

Unajua kwenye maisha kuna mambo meng tunafanya kwa kukusudia yawe mazuri au mabaya, ila mara nyingi tunajutia yale mabaya...

Najuta sana kuwa addicted na Bia, na ninaona kabisa ni adui yangu ila haipit siku bila kuuweka, this hurts Me sana...

Kuna aliyeweza kuacha bia kabisa na aliwezaje?. Nataman niachee, chaah! this too Much

NB: ushaur wa kukaa mbali na vishawishi au mbali na washkaj nishajarib na haujafaa, maana kiu ya bia hatar sana,. Hata ukikaa.mwenyewe utaitafuta.
hili suala sio peke yako mkuu linatutesa wengi sana
 
Mkuu dawa si kujitenga na company yako, wala sio kutokufika maeneo ya Gambe dawa ni Maamuzi kua na Msimamo wako tu ...........

Ukitaka kuacha ustangaze wala usiombe ushauri, wala usiwakimbie wana we jikomeshe tu kibingwa kisha jipongeze n Azam Embe kubwa lile.........

M sijaacha ila nakunywa mara chache sana kwa mwaka na kwa sababu maalum...... Pombe Ipo chini yangu.
 
Back
Top Bottom