UmepumzikaaMbona mi nimeacha tangu August mwaka jana
Sometimes stress za Maisha zinatufanya tuwe hivi, umeikabili vip hii halimimi nimejitaidi sana kuacha ila lazima sometime nionje, ila sio kama zamani saizi huwezi amini nikinywa k vant na bia moja inanipeleka vibaya mno sio kama zamani, naweza tupia k vant 2 na bia zangu za eagle kama 5 au 7, ilifiia kipindi nasahau kula nikaona huku ni kuji tua kaburini
mkuu nimebadilisha maziingira ambayo nilikuwa nime zoea ila nikipata stress tu mzee lazima ni tupie japo sio sana naweza kaa miezi miwili au mi tatu sijanywa, na kingine kuwa na tabia ya kujipa majukumu japo najua hapa ni pagumu sana mfano pesa unayo lewa sana wekeza kwenye shamba,au kitu kingine tofautiSometimes stress za Maisha zinatufanya tuwe hivi, umeikabili vip hii hali
badilisha aina yakilevi taratibu kama ulikuwa una kunywa ngumu acha na pendelea kunyea nyumbani sio barSometimes stress za Maisha zinatufanya tuwe hivi, umeikabili vip hii hali
Addiction!! Pombe ni kama madawa ya kulevya tu huwa wanapunzika tu.Ntaacha tu brother
kweli mkuu kuna mda ina kupeleka bila hata kutaraji, imenikosa kosa sana na kifo sema nilijitaidi kulaa kuna mda nilikuwa nagongaa BANANA kama maji hadi wazee wananiogopa maana tokea asubuhi hadi jioni niko eneo la tukio na hapo bado niko fit ila ikaja ku kwangu utubo achaaa sema saizi nimetulia kwanzaAisee pombe acha tu, ilifika mahali nikinywa namuota marehemu mamaangu ananionya kwamba " mwanangu acha pombe unaelekea kubaya" nikiamka napatwa na uchungu nakaa kitandani nalia weeee!! Halafu naenda kazini,
Kuna kipindi kikafika mizimu yangu ikagoma kuwa nisijaribu tena pombe, nikaacha nilikuja kujaribu ikawa kero nikaacha mazimaaa!!
Pombe sio jambo la maana ikikuzidi ni utumwa, unaweza kuharibu future yako kizembe sana.
Yaani mkuu acha tu, pombe sio ishu ya maana, raha ya pombe kuopoa mademu wazuri kirahisi baasi,kweli mkuu kuna mda ina kupeleka bila hata kutaraji, imenikosa kosa sana na kifo sema nilijitaidi kulaa kuna mda nilikuwa nagongaa BANANA kama maji hadi wazee wananiogopa maana tokea asubuhi hadi jioni niko eneo la tukio na hapo bado niko fit ila ikaja ku kwangu utubo achaaa sema saizi nimetulia kwanza
nikutafute nikupe offa hauta gonga kweliNilianza pombe secondary form 2 (Double Punch) mpaka nafika chuo mwaka wa 1 nimekubuhu na Mabapa!..
Lakini siku moja nikawa sina hela ya kula niliispend yote kwenye pombe!, nikaamua kuanzia sasa mimi na pombe basi!.
Naongozana na friends bar naagiza Malta nikipiga 2 na coca 1 fresh!. toka 2013 hadi leo sijawahi gusa bia wala dry gin!.
Maamuzi toka moyoni!.
kweli ukiwa maji lazima upate demu hata akiwa anakusumbua vipi, na kuna mda inakupa kujiamini sana. sema sasa ikikuzidi utaisoma namba na kingine heshima huwa ina shuka kwa jamii tofauti inayo kuzunguka. NA KIKUBWA HARUFUUUUUUUUUUUUYaani mkuu acha tu, pombe sio ishu ya maana, raha ya pombe kuopoa mademu wazuri kirahisi baasi,