Hivi mwanaume anapata nini kwenye ndoa kiasi kwamba ajutie kutokuwa na ndoa. Je, ndoa kwa Dunia hii ni muhimu kuliko pesa

mwanyaluke

JF-Expert Member
Jan 22, 2015
473
1,448
Nimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.

Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,

Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............

Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.

Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa
 
Nimekuwa nikijiuliza Nini Cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa , kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa, siungani na wale wa kataa ndoa , ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa Kwa wanaume, una pesa, una watoto. Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi . 1.usalama wa kijamii na kifedha. 2.furaha nk , najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana
Raha ya ndoa ni kuzaa watoto, na kuwa na watoto ni raha sana, sio tu raha kuwa na watoto bali kuwa na watoto na mama yao around you, wanamuita mama na wewe wanakuita baba, hapa kunakuwa na mapenzi makali, kuanzia watoto kwa baba, watoto kwa mama, baba kwa mama and vise versa. It's so fun to have them around you, ila yote hayo yanaweza kuonekana hayana maana kama amani itatoweka, na chanzo kikuu cha amani kutoweka kwenye ndoa ni dhambi, hapa kuna usaliti, wivu, uvivu, ulevi, uongo, hasira, chuki, visasi, vinyongo n.k. ndio maana mkijitambua mkamshika Mungu na kuzitii amri zake utafurahia ndoa maisha yako yote...
 
Nimekuwa nikijiuliza Nini Cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa , kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa, siungani na wale wa kataa ndoa , ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa Kwa wanaume, una pesa, una watoto. Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi . 1.usalama wa kijamii na kifedha. 2.furaha nk , najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana
Ndoa inaleta heshima, furaha, malezi mazuri ya watoto, uhakika wa papuchi, usaidizi katika maendeleo nk


NB
Hayo yote Kwa sasa yanakosekana Kwa asilimia kubwa na ndio maana watu wanaona ndoa hazina maana na ndio sababu hadi imekimufanya uulize Hilo swali
 
Tafuta pesa uache kwenda kwenye makele nyie mnaita batani kidibwi na uache kupanda gari za kugombania nyie mnaita usafiri wa umma, na uache kupangiwa zamu ya usafi chooni, na kuchangishana mchango wa luku imeisha au bill ya maji

Ukiwini hapo juu utajua raha ya ndoa maana kama starehe utaitaji sehemu tulivu na mama watoto kama mbugani serengeti au nje ya nchi hotel kali

Kama usafiri utaitaji mama watoto akupitie kazini au u pitied yeye na private car

So tafuta hela utaona gape la kutoowa ukiwa huna hela mke wa nini buku mbili unatoa upwilu unaenda jiuguza na dozi ya azuma
 
Nimekuwa nikijiuliza Nini Cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa , kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa, siungani na wale wa kataa ndoa , ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa Kwa wanaume, una pesa, una watoto. Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi . 1.usalama wa kijamii na kifedha. 2.furaha nk , najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana
Mkuu ndoa sio lazima kufunga ila Kuna faida kubwa na nyingi sana mtu kufunga ndoa na kuishi na mke wake kuanzia kwenye malezi chanya ya familia hadi kwenye matatizo kama ugonjwa,,,kwa Sasa huwezi ona faida ya ndoa kwakua ni kijana ila ukishafika kuanzia miaka 55, maradhi yameanza kusumbua, familia unashindwa kuihudumia, hakuna ambaye atakufanyia baadhi ya vitu zaidi ya mke wako,,,unapooa ni kama unatengeneza mazingira salama ya baadae kwako na familia Yako,,jambo muhimu jitahid tu usikosee kuoa.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa 😂
Hivi mtu aliyelelewa na wazazi wake anaweza kuulizwa swa
Tafuta pesa uache kwenda kwenye makele nyie mnaita batani kidibwi na uache kupanda gari za kugombania nyie mnaita usafiri wa umma, na uache kupangiwa zamu ya usafi chooni, na kuchangishana mchango wa luku imeisha au bill ya maji

Ukiwini hapo juu utajua raha ya ndoa maana kama starehe utaitaji sehemu tulivu na mama watoto kama mbugani serengeti au nje ya nchi hotel kali

Kama usafiri utaitaji mama watoto akupitie kazini au u pitied yeye na private car

So tafuta hela utaona gape la kutoowa ukiwa huna hela mke wa nini buku mbili unatoa upwilu unaenda jiuguza na dozi ya azuma
,mbona wanaume wenye pesa haya wanayapata vizuri tu

Nimeandika neno LABDA...haja ya kukasirika ha

Ndoa inaleta heshima, furaha, malezi mazuri ya watoto, uhakika wa papuchi, usaidizi katika maendeleo nk


NB
Hayo yote Kwa sasa yanakosekana Kwa asilimia kubwa na ndio maana watu wanaona ndoa hazina maana na ndio sababu hadi imekimufanya uulize Hilo swali
Chief hivi maskini anaheshimika kisaa ndoa
 
Nimekuwa nikijiuliza Nini Cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa , kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa, siungani na wale wa kataa ndoa , ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa Kwa wanaume, una pesa, una watoto. Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi . 1.usalama wa kijamii na kifedha. 2.furaha nk , najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue mbowe, aliko dangote, diamond platnum, myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vip wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa , mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na gerald amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo kayumba school, ada ,nguo vinamtesa
Kiufupi hakuna zaidi ya heshima
 
_20240205_173602.JPG
 
Back
Top Bottom