Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
....sijawai kusikia popote dun
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
...walianza kuzindua hostel wakaenda matawi ya vichochoroni ya bank sasa wameibukia kwenye mbuga za wanyama!...kwa mwendo huo iko Siku watazindua jua kuwaka asubuhi...ukifikilia sana kwa matendo ya watawala wa kiafrika unaweza kukubaliana kweli mtu mweusi alitokana na nyani
 
Haki ya mnyama ni kuishi anapotaka, yaani maeneo yao ya asili - kuwapeleka sehemu ambayo si asili yao ni ukiukwaji mkubwa wa haki za wanyama.
Wangekuwa binadamu tungesema wamekuwa wakimbizi wa ndani, bila sababu za msingi.
 
Mbuga itabadilishwa jina na kuwa Magufuli National Park


Hapana haitawekezana , nadhani ingekuwa busara zaidi watumie neno Burigi badala ya Burigi-Chato kama Ilivyo Serengeti au Ruaha Hifadhi hizi zimejumuisha Wilaya kadhaa kuweka Wilaya moja inaonekana ni Upendeleo!
 
Ebu tusaidie hao marais waliozindua mbuga kwa majina na mbuga walizozindua...ujinga ututoke
 
Mkuu naomba usishangae kabisa.. Watu wa jamii za kule wanaweza kuzindua hata baiskeli au mashine y kusaga..
Tena gharama za tukio zikawa kubwa kweli kweli kuliko hata kipato cha mzinduaji..!!
Naomba tu mjiandae kisaikolojia; kule Chato shughuli za uzinduzi zitakuwa baab-kubwa na zaidi ya yote jukwaa la kuwaponda wote wenye wivu, "mabeberu na mawakala wao"!

My take: kwa kuwa hii ni awamu ya washamba... hakuna maajabu tutaacha kushuhudia.. And very soon watazindua Ziwa Victoria!
Call them whatever. Ila kaa ukijua Utalii ni Biashara na Biashara ni matangazo. Anachofanya JPM ni matangazi. Mbuga itajulikana kila kona ya Dunia sasa.

Ukitumai ghalama leo then baadae zinalipwa kwa wageni wanao kuja sio mbaya.
 
Kwa hiyo alivyo zindua gharama za upigaji pesa hapo ndio hakuna !? Mbona unajikanyaga ...... ?

Yaani kichekesho ni kwamba unaweza vipi kuzindua kitu ambacho sio man maid? ? Think twice aise ..otherwise mtu wa kwanza ambaye anapaswa kuwa brain transform ni wewe na Wana Lumumba wengine
Watanzania na waafrica in totally tunahitaji kufanyiwa, brain transformation.... Kuzindua mbona kama siyo big deal? Mbona sioni siasa hapo tofauti na ulicho kisema?

Rais aende akatalii aende na waandishi wa habari kabisa like serious hahaha big jok mkuu, kuanzisha kampeni ni gharama na upigaji wa hela tu hakuna jipya hapo..... Bora alivyo zindua
 
Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.


Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.

Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
Wachache wenye uelewa mzuri kama wako.
 
Hahaha haaa na huku waje wazindue Milima ya uluguru
Mkuu naomba usishangae kabisa.. Watu wa jamii za kule wanaweza kuzindua hata baiskeli au mashine y kusaga..
Tena gharama za tukio zikawa kubwa kweli kweli kuliko hata kipato cha mzinduaji..!!
Naomba tu mjiandae kisaikolojia; kule Chato shughuli za uzinduzi zitakuwa baab-kubwa na zaidi ya yote jukwaa la kuwaponda wote wenye wivu, "mabeberu na mawakala wao"!

My take: kwa kuwa hii ni awamu ya washamba... hakuna maajabu tutaacha kushuhudia.. And very soon watazindua Ziwa Victoria!
 
Tunapokuwa tunazindua ni kweli kwamba dunia nzima inaona kwa kutumia tbc hii hii!!!! Au BBC/ALJAZEERA/CNN na wengine wa duniani wamealikwa?
 
Back
Top Bottom