Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Call them whatever. Ila kaa ukijua Utalii ni Biashara na Biashara ni matangazo. Anachofanya JPM ni matangazi. Mbuga itajulikana kila kona ya Dunia sasa.

Ukitumai ghalama leo then baadae zinalipwa kwa wageni wanao kuja sio mbaya.

Yaani wewe kama unahisi biashara ya utalii ni matangazo pekee basi wewe nawe huna utofauti na wao..
Matangazo "is just a very minor segment of Utalii" Na kwa taarifa yako "destination marketing" is a very complex process!! It is more than just a launch of a national park on state run and local Tv stations! Huu ni ushamba moja wapo!

Hifadhi zinajisimamia na kutambulika duniani kote kwa "unique features and attributes".. Hapa nchini tanzania ni hifadhi chache sana zenye hizo uniqueness. Wageni wataona mlivyotangaza.. Watakuja Chato-Burigi lakini watakuta hakuna kitu chchote zaidi ya "exotic species of wildlife (wanyama walioamishwa)

Kwa taarifa yako... hifadhi nyingi zilizopo nchini zinajiendesha kwa hasara na kusaidiwa na hifadhi ama ya serengeti ama kilimanjaro.. (TANAPA wanajua ukweli wa hili).
Kwa mtalii anayejua anachokitafuta hawezi kwenda Chato-Burigi akaacha Serengeti, Rubondo na Ruaha kwa mfano.. Labda kama antaka kwenda kuona "wasukuma na wasubi" wanavoishi! Hivi utaenda kuwaona wanyama waliohamishwa na kuwekwa kwenye "ZOO" wakati huo huo kuna ambao wanaishi natural life kwenye hifadhi zingine..!!

Anyway; ngoja wajishereheshe na kushangweka kwa leo.. Hiyo hifadhi inawez kuchukua zaidi ya a decade or a century kuja kufikia levels za kupambana/kushindana na destinations nyingine nchini na duniani.

Ushauri tu.. Wakitaka ChatoBurigi iwe very popular labda wawadake wale washamba wenzao wa kichina (ambao tumeambiwa wataanza kuletwa nchini muda si mrefu). Wakitoka uchina watue moja kwa moja Chato kabla ya kuendelea na shughuli zao..
 
Senegal unadhani kuna watu wanao shinda kwenye mitandao? Watu wanapiga kazi mzee ooh... Endelea kutamani vya wanaume wenzako
Mshamba wewe Senegal hata bundle bei nafuu na watu wanatumia sana mitandao na sarr ameruhusu maandamano na hana roho mbaya
 
Wasukuma wapo wengi tu ...siunajua wale wanapenda Ku vamia vamia maeneo ya watu na kulisha mifugo yao

Wasukuma wapo wa jamii nyingi sana mkuu... Ila mkulu akisikia kuwa huko Uluguru kuna wasubi ni lazima atakuja chap chap na kufanya kitu kwa ajili yao..!
 
Yaani wewe kama unahisi biashara ya utalii ni matangazo pekee basi wewe nawe huna utofauti na wao..
Matangazo "is just a very minor segment of Utalii" Na kwa taarifa yako "destination marketing" is a very complex process!! It is more than just a launch of a national park on state run and local Tv stations! Huu ni ushamba moja wapo!

Hifadhi zinajisimamia na kutambulika duniani kote kwa "unique features and attributes".. Hapa nchini tanzania ni hifadhi chache sana zenye hizo uniqueness. Wageni wataona mlivyotangaza.. Watakuja Chato-Burigi lakini watakuta hakuna kitu chchote zaidi ya "exotic species of wildlife (wanyama walioamishwa)

Kwa taarifa yako... hifadhi nyingi zilizopo nchini zinajiendesha kwa hasara na kusaidiwa na hifadhi ama ya serengeti ama kilimanjaro.. (TANAPA wanajua ukweli wa hili).
Kwa mtalii anayejua anachokitafuta hawezi kwenda Chato-Burigi akaacha Serengeti, Rubondo na Ruaha kwa mfano.. Labda kama antaka kwenda kuona "wasukuma na wasubi" wanavoishi! Hivi utaenda kuwaona wanyama waliohamishwa na kuwekwa kwenye "ZOO" wakati huo huo kuna ambao wanaishi natural life kwenye hifadhi zingine..!!

Anyway; ngoja wajishereheshe na kushangweka kwa leo.. Hiyo hifadhi inawez kuchukua zaidi ya a decade or a century kuja kufikia levels za kupambana/kushindana na destinations nyingine nchini na duniani.

Ushauri tu.. Wakitaka ChatoBurigi iwe very popular labda wawadake wale washamba wenzao wa kichina (ambao tumeambiwa wataanza kuletwa nchini muda si mrefu). Wakitoka uchina watue moja kwa moja Chato kabla ya kuendelea na shughuli zao..
Usinilishe maneno - Hakuna sehemu nimesema matangazo pekee.

Endelea kujielimisha unaonekana utafanikiwa ila kwa sasa ungekuwa unahoji tu na sio kuchangia kwenye mambo ya kitaalam.
 
Jpm anawaleleka puta sana hadi mnashindwa muandike nini
Yaani nilivyovunjika mbavu namna hii halafu wewe unasema tunashindwa cha kuandika? JPM ni kikomo cha wendawazimu, hata kama tunanuna kwa maisha magumu, angalau tucheke kwa vituko vyake visivyoisha
 
Usinilishe maneno - Hakuna sehemu nimesema matangazo pekee.

Endelea kujielimisha unaonekana utafanikiwa ila kwa sasa ungekuwa unahoji tu na sio kuchangia kwenye mambo ya kitaalam.
Tafadhali rejea kwenye andiko lako... unaonekana wewe unapenda sana kulishwa lishwa..!!
Mimi nimechangia kitaalamu zaidi ya wataalamu wenu wote mlio nao huko kwenu na kwenye makusanyiko yenu..
Tumia hayo mawazo niloweka hapo kwenye mazungumzo yoyote utakayofanya siku zijazo.. Free of charge!
Jifunze kuangalia mbali na si mwisho wa urefu wa tumbo lako ama kamba za viatu vya miguu yako..!!

Na kama unajua one or two things about marketing... Mimi naanzia hapo na kuishia kwenye utalii endelevu..!!
Naomba niishie hapo... Make you look like both an imbecile and a clueless person.
 
Ukiwa mbumbumbu kwenye ishu za kiuchumi huwezi kuona umuhimu wa Rais kuzindua hiyo mbuga
 
Mh! Nimesoma comments humu nimeishia kucheka tu utafikiri ni mazuri. Wakuu mnaichukulia hii issue kimzahamzaha, tukumbushane tu, jana watu saba walifariki kwenye ajali wakipambana kwenda kufanya coverage ya tukio hili muhimu kabisa la kihistoria. Ipo siku people will look back and ask themselves,how did all these things happened.
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...na nani ni zero brain, mxieeew!
Vipi utimamu wa akili wa wajumbe wa vikao vya chama cha kijani waliompisha kamati kuu ,mikutano kuu ,halmashauri kuu wenyewe si ndio vichaa kabisa kabisa .
 
Mh! Nimesoma comments humu nimeishia kucheka tu utafikiri ni mazuri. Wakuu mnaichukulia hii issue kimzahamzaha, tukumbushane tu, jana watu saba walifariki kwenye ajali wakipambana kwenda kufanya coverage ya tukio hili muhimu kabisa la kihistoria. Ipo siku people will look back and ask themselves,how did all these things happened.
na hapo ndipo tutakapokubaliana billa shuka yoyote kwamba kila walipo watanzania wanne,mmoja wa ni kichwa,na probability ya huyo kichaa kuwa kiongozi wa wengine ni 0.25.Sasa swali litabaki ilikuwaje watu wote tukaambukizwa ukichaa
 
Nililiwaza hili usiku nikiwa najiandaa kulala ,nikaishia kutoa mechi bila kupanga!
HASIRA NILIYOISIKIA ANAIJUA MUNGU!
 
Back
Top Bottom