Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Mmmmmh labda kwako, tembeeni mjionee dunia inavyoenda
Nyerere - Mwinyi- Mkapa - Kikwete is my reference, au labda mwenzetu ulihudhulia uzinduzi wa mbuga, to my notice Kikwete alihusika kuanzisha Saadani nk likewise Mkapa bila kumuongelea Mwalimu sijawahi kuwaona wanazindua.

Au mwenzetu uko makini zaidi uliwaona wakizindua, I think they weren't attention seekers!!
 
Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.


Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.

Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
Serengeti ilizinduliwa lini?

Ova
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
Nimecheka sana hapo kwenye nyekundu 😂 😂.
 
Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia moja wapo ya kuipromote ile mbuga, nenda kaangalie tangia walivyo tangaza kuizindua ni watalii wangapi wamesha enda kutembelea ile mbuga?

Halafu kama siyo kuitangaza kuwa Rais anaenda kuizindua wala nisingejua kama kuna mbuga inayo itwa Burigi... Ilitumika mbinu kidogo tu kuwavutia watalii....

Hii njia aliyo itumia rais natamani angepanda Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vya kitalii ili watalii wamiminike nchi
 
Nyerere - Mwinyi- Mkapa - Kikwete is my reference, au labda mwenzetu ulihudhulia uzinduzi wa mbuga, to my notice Kikwete alihusika kuanzisha Saadani nk likewise Mkapa bila kumuongelea Mwalimu sijawahi kuwaona wanazindua.
Au mwenzetu uko makini zaidi uliwaona wakizindua, I think they weren't attention seekers!!
Aisee!!! Kama mawazo ya kijinga kama hayo ndiyo vijana tunawaza bora muendelee kutekwa na musionekane tena, yaani unashindwa kujiongeza mkuu???

Sasa hivi kuna ushindani mkubwa sana kwenye sector ya utalii duniani kila nchi inatafuta mbinu zake kuwavutia watalii, Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia mojawapo ya kuitangaza ile mbuga....
 
Nyerere - Mwinyi- Mkapa - Kikwete is my reference, au labda mwenzetu ulihudhulia uzinduzi wa mbuga, to my notice Kikwete alihusika kuanzisha Saadani nk likewise Mkapa bila kumuongelea Mwalimu sijawahi kuwaona wanazindua.

Au mwenzetu uko makini zaidi uliwaona wakizindua, I think they weren't attention seekers!!
Hapana, lakini kama tunaweza kuzindua kisima cha maji au mkoa, kwa nini sio mbuga.


Nilishiriki uzinduzi wa mkoa wa Katavi mimi mwenyewe kabisa niliona kila kitu mpaka mwisho hapa

 
Mleta mada vipi hukuona wale twiga waalikwa waliosafirishwa toka Serengeti?ila nimeshangaa tu kwenye utambulisho miongoni mwa wageni waalikwa hawakutambulishwa.
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
"Tumekabidhi nchi kwa washamba"-Zitto Zuberi Kabwe.
 
Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia moja wapo ya kuipromote ile mbuga, nenda kaangalie tangia walivyo tangaza kuizindua ni watalii wangapi wamesha enda kutembelea ile mbuga?

Halafu kama siyo kuitangaza kuwa Rais anaenda kuizindua wala nisingejua kama kuna mbuga inayo itwa Burigi... Ilitumika mbinu kidogo tu kuwavutia watalii....

Hii njia aliyo itumia rais natamani angepanda Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vya kitalii ili watalii wamiminike nchi
Ewaaaa wewe umejua kufaulu vizuri kabisa

Yaani lengo pale ni kana kwamba publicity iwapo mle uzinduzini sababu hapa tayari tushajua moja mbili tatu kuhusu hii mbuga tayari
 
Aisee!!! Kama mawazo ya kijinga kama hayo ndiyo vijana tunawaza bora muendelee kutekwa na musionekane tena, yaani unashindwa kujiongeza mkuu???

Sasa hivi kuna ushindani mkubwa sana kwenye sector ya utalii duniani kila nchi inatafuta mbinu zake kuwavutia watalii, Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia mojawapo ya kuitangaza ile mbuga....
Watalii wanatafutwa kwa kupitia TBC, Wewe ndio mjinga zaidi ya wooteee! Au watalii wa ndani? Wewe kichekesho kweli kweli! Ndio maana hatuendelei kama watu design yako wakiwa viongozi na charisma 0%
 
Kwa hiyo leo wanyama watakula na kusaza ....

Kama namwona bwana fisi vile ...

Ila nimeongea na bwana simba , kaniambia leo wengi wameamua kugoma , labda vinyama vioga vikina swala ndo vitaenda !
 
Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia moja wapo ya kuipromote ile mbuga, nenda kaangalie tangia walivyo tangaza kuizindua ni watalii wangapi wamesha enda kutembelea ile mbuga?

Halafu kama siyo kuitangaza kuwa Rais anaenda kuizindua wala nisingejua kama kuna mbuga inayo itwa Burigi... Ilitumika mbinu kidogo tu kuwavutia watalii....

Hii njia aliyo itumia rais natamani angepanda Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vya kitalii ili watalii wamiminike nchi
Mlima Kilimanjaro ni wa kuhamisha, Haupo sehemu sahihi kijiografia hata kiutawala.
 
Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia moja wapo ya kuipromote ile mbuga, nenda kaangalie tangia walivyo tangaza kuizindua ni watalii wangapi wamesha enda kutembelea ile mbuga?

Halafu kama siyo kuitangaza kuwa Rais anaenda kuizindua wala nisingejua kama kuna mbuga inayo itwa Burigi... Ilitumika mbinu kidogo tu kuwavutia watalii....

Hii njia aliyo itumia rais natamani angepanda Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vya kitalii ili watalii wamiminike nchi
Ficha ujinga wako
 
Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.


Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.

Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
Sawa sisi watoto hatujui hebu tuambie Mbuga ya Serengeti ilizinduliwa lini na nani aliizindua.
 
Back
Top Bottom