Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Hahahaha ! Kuna siku watazindua msimu wa mvua
Hahahaaanimecheka san jaman hahahahahhaa...hahahahaha
Hahahaha ! Kuna siku watazindua msimu wa mvua
Kwani hukuona Wanyama wakipelekwa huko? Twiga, Mbuni n.k
Soma hapa pia.
![]()
Ijue National Park ya kwanza kabisa kuanzishwa duniani
Yellowstone National Park ndo hifadhi ya kwanza kabisa kuanzishwa duniani. Hifadhi hii ilianzishwa mwaka 1872 March 1, ina ukubwa wa kilometers za mraba 8,983.18sqkm na ipo nchini Marekani. Na ilianzishwa na rais wa marekani wa kipindi hicho bwana Ulysses s. Grant na inakadiriwa kwamba...www.jamiiforums.com
Msiba atakuanika mkuu, hataki malaika adhihakiwe ama asemwe.
vitukoItakuwa Walialikwa Na Wanyama Kufanya Zoezi Hilo (Maana Yake Hata Wanyama Wanamkubali)
Aachie wenye kazi yao yeye abaki ni kulipa kodi tu,asiulize hata matumizi yake,sindiyo mkuu?Waachie wenye kazi zao mjomba. We fanya yako. Ukiona unaumizwa na jambo ambalo halina madhara yoyote kwako jua una maradhi yanakutafuna taratibu. Wahi hospital
Kuna siku moja mwehu katika soko la Igalula, alikuwa anawashangaa wenye akili timamu na akawaita kuwa hawana akili; nilitafakari sana mwisho nikakubali kuwa yupo sahihi kwa upande wake.Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
Tumealika TEMBO 3, SIMBA 4, TWIGA 8, KENGE 8, NYUMBU 12, MAWAZIRI 9, NAIBU MAWAZIRI 3, MIJUSI 6, MAMBA 2, PUNDAMILIA 7. Chakula kwa wagner waalikwa wote kitakuwepo.
Imeandikwa kiswahili na hujaelewa, umenisoma juu nilichoandika? Nimeandika hata saadani aliianzisha Kikwete, aliizindua? Use at least 20% of your common sense!! Utaelewa!
😀 😀 😀 😀Sijui kutakua na utepe na mkasi juu hahaha simba na atokee tu apo tuone watu wanavyotafutana
'Watajizindua' hapa mnanikumbusha kausemi kale kakujitekaHii ni awamu ya uzinduzi kuna siku tutasikia wanazindua mlima Kilimanjaro.
Watanzania na waafrica in totally tunahitaji kufanyiwa, brain transformation.... Kuzindua mbona kama siyo big deal? Mbona sioni siasa hapo tofauti na ulicho kisema?Hapa kuwa na sababu ya kuanzisha kampeni na kudai kuwa anaizundua. .anacho zindua yeye ni nini Sasa,? Wakati mbuga ni rasilimali ya asili ambayo ipo katika ardhi ya taifa hili miaka na miaka .....
Alicho paswa kufanya ni kuanzisha kampeni ya yeye kwenda kutalii tu '' hilo lilikuwa Lina tosha kwa yeye kuweza kuitangaza hiyo mbuga kutokana na status aliyo nayo. ...tena mimi nashauri afanye hivyo katika mbuga zote nchini au katika Vivutio vyote ndani ya nchi hilo Lita sababisha ongezeko kubwa la watalii wandani na wa nje ya nchi Kuja kutalii katika mbuga zetu na hifadhi mbali mbali za taifa. ......
Tuache kuwa tuna leta siasa katika vitu vya msingi. .yaani kabisa bila hata haya kiongozi anasema kuwa amezindua mbuga like seriously! !?
Ebu tusaidie hao marais waliozindua mbuga kwa majina na mbuga walizozindua...ujinga ututokeMmmmmh labda kwako, tembeeni mjionee dunia inavyoenda
Kama ulivyoshindwa kuandika na wewe. "anawaleleka" Ndio nini Hiki?Jpm anawaleleka puta sana hadi mnashindwa muandike nini
Mkuu kama hukubaliani na maamuzi ya rais nenda mahakamani.....Wewe mwehu kweli, sasa akizindua akili yangu ndio ikae sawa au yako?
Mkuu naomba usishangae kabisa.. Watu wa jamii za kule wanaweza kuzindua hata baiskeli au mashine y kusaga..
Tena gharama za tukio zikawa kubwa kweli kweli kuliko hata kipato cha mzinduaji..!!
Naomba tu mjiandae kisaikolojia; kule Chato shughuli za uzinduzi zitakuwa baab-kubwa na zaidi ya yote jukwaa la kuwaponda wote wenye wivu, "mabeberu na mawakala wao"!
My take: kwa kuwa hii ni awamu ya washamba... hakuna maajabu tutaacha kushuhudia.. And very soon watazindua Ziwa Victoria!
Good thinkingMkuu naomba usishangae kabisa.. Watu wa jamii za kule wanaweza kuzindua hata baiskeli au mashine y kusaga..
Tena gharama za tukio zikawa kubwa kweli kweli kuliko hata kipato cha mzinduaji..!!
Naomba tu mjiandae kisaikolojia; kule Chato shughuli za uzinduzi zitakuwa baab-kubwa na zaidi ya yote jukwaa la kuwaponda wote wenye wivu, "mabeberu na mawakala wao"!
My take: kwa kuwa hii ni awamu ya washamba... hakuna maajabu tutaacha kushuhudia.. And very soon watazindua Ziwa Victoria!