Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...na nani ni zero brain, mxieeew!
Wamesema kuna mambo zaidi wametekeleza katika awamu hii hili ni la 51 uwanja wa mpira ni la 52 hahahhh nchi inaongozwa na viwete wa akili
 
Hahaha haaaaa haaaaa haa Wanyama wame fanyaje?
YANI mpwa nilijikuta nasahau watu waliokufa!
Nikawaza mbuga inazinduliwaje?
yani kuna siku mtu atakuja azindue bahari ya hindi!
HAKIIIII JANA hawa watu wamejua kunitegua akili!
 
Hahaha hahaaaa yaani as if ni human creation !!!!!!!!!!!!
imaaagine!
MBUGA kweli!
mbuga inazinduliwa?
SO WALIFUNGA UTEPE KWENYE MITI AU?
na kwanza ina maana haikuwepo mwanzoni ?
AH WATUPUMZISHE KIDOGO BANA!
 
Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.


Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.

Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
Wale wanaochukuliwa toka nje wakishaanza kuzaa nao tutafanya uzinduzi wa wanyama wapya toka nje ya nchi? Nawaza tu.
 
na hapo ndipo tutakapokubaliana billa shuka yoyote kwamba kila walipo watanzania wanne,mmoja wa ni kichwa,na probability ya huyo kichaa kuwa kiongozi wa wengine ni 0.25.Sasa swali litabaki ilikuwaje watu wote tukaambukizwa ukichaa
Dah! we jamaa😅😁
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...na nani ni zero brain, mxieeew!
Na Mbuga yenyewe ipo wilaya ya Muleba, Kagera. Nashangaa jamaa ameiparamia na kuiita Burigi - Chato! Sasa sijui mbuga itakuwa Muleba alafu wanyama ni wa Chato?? Na je kodi na mapato yatakuwa yanaingia kwenye Halmashauri ya Muleba ama Chato??? Haya ni maajabu na ni ubakaji
 
Wabongo kwa kuzodoa tu hamjambo, ila kiukweli ninachojua mimi ni ZOO huzinduliwa, sasa kama nayo hiyo ni ZOO fresh 🙄
 
Yaani mpwa hili taifa lako sijui lina pelekwa wapi. ..Huyu mobutu seseko wa karne hii tutamkoma
YANI mpwa nilijikuta nasahau watu waliokufa!
Nikawaza mbuga inazinduliwaje?
yani kuna siku mtu atakuja azindue bahari ya hindi!
HAKIIIII JANA hawa watu wamejua kunitegua akili!
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...na nani ni zero brain, mxieeew!
 
Yaani mpwa hili taifa lako sijui lina pelekwa wapi. ..Huyu mobutu seseko wa karne hii tutamkoma
najitahidi kupuuzia , nisifuatilie haya mambo lakini dah!
Kuna vitu moyo unshindwa jamani!
yani nilijikuta naumia ile ya kikweli kabisa ndani!
dah!
haya lakini!
 
Pole ... Inahuzunisha kwakweli mbaya zaidi watu wote wenye nguvu wapo kimya. .kama vile hawaoni kule tunapoelekea
najitahidi kupuuzia , nisifuatilie haya mambo lakini dah!
Kuna vitu moyo unshindwa jamani!
yani nilijikuta naumia ile ya kikweli kabisa ndani!
dah!
haya lakini!
 
Dah.. Lisu anaowategemea wampeleke Ikuku wote ni mambumbumbu tupu!

Kuzindua maana yake ni ili ijulikane kwamba kule kuna mbuga. Mfano mimi nimejua juzi kwamba kuna mbuga huko, sasa nyumbu walivyowajinga wanafikiri kutangaza utalii ni lazima ukatoe tangazo redioni. Shida sana aisee
 
Ukiwa mbumbumbu kwenye ishu za kiuchumi huwezi kuona umuhimu wa Rais kuzindua hiyo mbuga
Serengeti inazinduliwa lini?
Mwambieni azindue na kula nyama ya paka.
 
Dah.. Lisu anaowategemea wampeleke Ikuku wote ni mambumbumbu tupu!

Kuzindua maana yake ni ili ijulikane kwamba kule kuna mbuga. Mfano mimi nimejua juzi kwamba kuna mbuga huko, sasa nyumbu walivyowajinga wanafikiri kutangaza utalii ni lazima ukatoe tangazo redioni. Shida sana aisee
Kwa tafsiri yako ni kama hajamzindua mama janeti!!
Au sijakuelewa mkuu.

(Mnadhani mnamtetea kumbe mwenzenu anataga mayai)
 
Back
Top Bottom