hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,147
- 72,893
Ficha ujinga wako
Jpm anawaleleka puta sana hadi mnashindwa muandike nini
Jpm anawaleleka puta sana hadi mnashindwa muandike nini
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Hii ni awamu ya uzinduzi kuna siku tutasikia wanazindua mlima Kilimanjaro.
Nikatika kuhangaika kuficha unyama waliofanya kwa mtu waliempiga risasi kisha wakamvua ubunge!Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Pesa wanayotumia kwa mambo ya kipuuzi ni kodi yangu lazima nihoji.Waachie wenye kazi zao mjomba. We fanya yako. Ukiona unaumizwa na jambo ambalo halina madhara yoyote kwako jua una maradhi yanakutafuna taratibu. Wahi hospital
Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Lakini atakuwa Raisi wa kwanza kuzindua mbuga, nadhani haijawahi kutokea au??Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.
Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.
Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
Mmmmmh labda kwako, tembeeni mjionee dunia inavyoendaLakini atakuwa Raisi wa kwanza kuzindua mbuga, nadhani haijawahi kutokea au??
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
Subirini muone nyie vijana
Oya mkuu mbavu hazina spareItakuwa Walialikwa Na Wanyama Kufanya Zoezi Hilo (Maana Yake Hata Wanyama Wanamkubali)
Kuwa mpole kijana wanguSawa mzee.
Watu wanazindua hadi sanamu sembuse na mbuga. By the way he is doing something unique sio lazima ukopi.Lakini atakuwa Raisi wa kwanza kuzindua mbuga, nadhani haijawahi kutokea au??