Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Wamealikwa nyumbu wa Lumumba
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?
Nikatika kuhangaika kuficha unyama waliofanya kwa mtu waliempiga risasi kisha wakamvua ubunge!

Watafanya hata mambo ya kipuuzi zaidi!
 
Hahahaha...
Mtabakia mnalalamika tuu..kama madebe matupu..
Mbuga inazinduliwa and hakunakitu mtafanya..
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?
Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.


Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.

Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
 
Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.


Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.

Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
Lakini atakuwa Raisi wa kwanza kuzindua mbuga, nadhani haijawahi kutokea au??
 
Kwani mkoa wa Geita, Songwe, Njombe, mji wa serikali ilizinduliwaje?

It's about status nikka hata mambele vipo vingi, me mwenyewe nilimzindua mchepuko kwenda status nyingine himilivu zaidi
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...

Ukisaka kiki huna muda wa kuangalia jambo.
 
Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...

Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?

And by the way, wanyama wamealikwa?

Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...

Subirini Simba afyatuke huko aliko aondoke na ama Kalio au Kolomero la Mkemia ndipo mtajua Wanyama huwa hawatanii Mbugani.
 
Lakini atakuwa Raisi wa kwanza kuzindua mbuga, nadhani haijawahi kutokea au??
Watu wanazindua hadi sanamu sembuse na mbuga. By the way he is doing something unique sio lazima ukopi.
 
Back
Top Bottom