Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

Waachie wenye kazi zao mjomba. We fanya yako. Ukiona unaumizwa na jambo ambalo halina madhara yoyote kwako jua una maradhi yanakutafuna taratibu. Wahi hospital

Mbona mimi naona mleta mada kauliza swali tu na sijaona sehemu kasema anaumizwa, ila kwa kweli ni jambo la kustaajabisha mbuga kuzinduliwa bila wanyama kualikwa
 
Shida ni matumizi mbaya ya mali ya umma.

Soma hapo uelimike utoke matopeni.
 
Mbona mimi naona mleta mada kauliza swali tu na sijaona sehemu kasema anaumizwa, ila kwa kweli ni jambo la kustaajabisha mbuga kuzinduliwa bila wanyama kualikwa
Kwani hukuona Wanyama wakipelekwa huko? Twiga, Mbuni n.k

Soma hapa pia.

 
Especially kwa attention seekers, ni kweli!! Au all politician ni attention seekers??
 
Sawa sisi watoto hatujui hebu tuambie Mbuga ya Serengeti ilizinduliwa lini na nani aliizindua.


Ukitaka nikutumie kitabu usome.
 
Imeandikwa kiswahili na hujaelewa, umenisoma juu nilichoandika? Nimeandika hata saadani aliianzisha Kikwete, aliizindua? Use at least 20% of your common sense!! Utaelewa!
 
Hapa kuwa na sababu ya kuanzisha kampeni na kudai kuwa anaizundua. .anacho zindua yeye ni nini Sasa,? Wakati mbuga ni rasilimali ya asili ambayo ipo katika ardhi ya taifa hili miaka na miaka .....

Alicho paswa kufanya ni kuanzisha kampeni ya yeye kwenda kutalii tu '' hilo lilikuwa Lina tosha kwa yeye kuweza kuitangaza hiyo mbuga kutokana na status aliyo nayo. ...tena mimi nashauri afanye hivyo katika mbuga zote nchini au katika Vivutio vyote ndani ya nchi hilo Lita sababisha ongezeko kubwa la watalii wandani na wa nje ya nchi Kuja kutalii katika mbuga zetu na hifadhi mbali mbali za taifa. ......

Tuache kuwa tuna leta siasa katika vitu vya msingi. .yaani kabisa bila hata haya kiongozi anasema kuwa amezindua mbuga like seriously! !?
Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia moja wapo ya kuipromote ile mbuga, nenda kaangalie tangia walivyo tangaza kuizindua ni watalii wangapi wamesha enda kutembelea ile mbuga?

Halafu kama siyo kuitangaza kuwa Rais anaenda kuizindua wala nisingejua kama kuna mbuga inayo itwa Burigi... Ilitumika mbinu kidogo tu kuwavutia watalii....

Hii njia aliyo itumia rais natamani angepanda Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vya kitalii ili watalii wamiminike nchi
 
Back
Top Bottom