Michael lusato
Member
- May 25, 2019
- 60
- 174
...tumekua watu wa comedy duniani tunaonekana vituko ivi kweli mbuga inazinduliwa bila kuwepo mkuu wa poli simba chui mamba na fisi ila wanahudhuria watu waliovaa suti sasa hapo ndo utajua mnyama aliezinduliwa kavaaje!

