Takribani wiki moja hapa mjini Arusha sijui maeneo mengine umeme unakatika mara kwa mara hasa nyakati za jioni.Ikumbukwe waziri wa nishati na madini aliahidi mgao wa umeme basi! Shirika limekaa kimya hakuna taarifa kwa umma shughuli nyingi za kiuchumi zinazotegemea umeme haziendi vizuri..... nawasilisha