Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,227
- 1,105
Ulitegemea nini mwenye kiwanda cha kutengeneza uongo Kikwete amefuzu kozi akawaachia akina Pinda Muhongo bila aibu bungeni walisema hakutakuwa na mgao lakini Dar es Salaam kuna mgao wa umeme ni masaa matano mpaka kumi na mbili kila siku,nchi ya wagagagigogo
Inawezekana maeneo yenu yapo kwenye maboresho kama wanavyotangaza kila siku.Mimi nipo hapa Dar,tena uswahilini, mgao nausikia kwenu