Hivi kwanini wanawake wengi ni wachawi?

Hivi kwanini wanawake wengi ni wachawi?

Utangulizi.
mchawi ni mtu anae mchukia au kumfanyia kitu kibaya mtu mwingine ambae hana chuki wala baya alilofanya.
hata wewe ulieuliza uchawi ni nini unaweza kuwa mchawi.

Uchawi ndo icho sasa kinachofanywa na mchawi au mshirikina.
mfano kuna mtu anakukwamisha kivyovyote kwenye mambo yako wakati wewe unamuombea mtu huyo afanikiwe, bas mtu huyo ni mchawi.

Pia kuna uchawi ule mtu anautumia kumloga mtu mwingine, chawi hizi zipo nyingi na mtu anaezitumia chiwi hizi kuwafanyia wengine mabaya, mtu huyo ni mchawi.

Pia unaweza kuwa sio mchawi lakini ukafanya uchawi, kwa sababu uchawi unafanywa na mtu yoyote.
uchawi ukifanywa na mtu anaeujua uchawi husika, mtu huyo ndo mchawi.
uchawi ukifanywa na mtu asioujua uchawi husuka, mtu huyo ni mshirikina. washirikina ni watu wanaoenda kwa waganga,
Sasa baada ya hapo tunaweza kuwa kwenye uwanja mzuri wa kujua hao wanawake ni wachawi au la
 
Mambo..?[emoji6]
poa.
Tutakuaminije sisi dada, wengine mpaka tunaogopa yaani, maana ukisha oa mke mchawi tu hata watoto wanakuwa wachawi.
Ndivyo. Ndio maana mnatakiwa mkae kwenye uchumba hata mwaka naamini mwaka mzima utapata viashiria tu kuwa huyu mwanamke sie, kwanzia anayoyaongea/anayoyafanya/imani yake nk
Huyo brother kaka ni mtu wa kutoka mkoa gani?
Mkurya
Wasamehe bure wadogo zako.. Wanasumbuliwa na balehe
Hata mimi naona
nmewasamehe tu
Ndo wewe kwenye avatar?
Ndiyo
 
Samahani mkuu kama nitakukwaza,
Vp bi mkubwa wako alikuwa na hiyo Elimu, vp bibi, shangazi n.k. Kana hawana Elimu, je ni wachawi?
 
poa.Ndivyo. Ndio maana mnatakiwa mkae kwenye uchumba hata mwaka naamini mwaka mzima utapata viashiria tu kuwa huyu mwanamke sie, kwanzia anayoyaongea/anayoyafanya/imani yake nkMkuryaHata mimi naona
nmewasamehe tuNdiyo
Dada sio siri nimetokea kukupenda!
Hisia za mapenzi juu yako zimenijaa!
Nimeamua kulieleza kuliko kulivundika likaja nishinda nikapotea kama upepo wa kipupwe kwenye ufukwe wa mapenzi!..

Itakuwa vyema ukinipatia nafasi ya moyo wako ili tulitungue penzi kwa mahaba mahabuba tujaze vibaba tuwaache wanaoruba!.
Ifungue taswira yako mpya kwa kunikabidhi lako huba mpenzi..

Naomba nisitie maneno kede ukajaniita mimi muongo
 
-Mbona mi sina elimu
-Tegemezi
lakini sio mwanga?
Kuna neno ASILIMIA KUBWA. Hebu rudi tena usome Uzi, inawezekana wewe ni kati ya asilimia ndogo ila bado ni kilaza ndio maana hujaona neno ASILIMIA KUBWA. Pengine ni suala la muda tu utafika huko na wewe kwani huwa hawaanzi mara waingiapo ndoa.

Naunga mkono UZI, ni kweli wachawi
 
Hakuna uhusiano Kati ya uchawi na kutokuwa na elim
Kuna wengi Sana wenye elimu lakin Ni wachawi na Kuna wengi sana ambao hawana elimu na ni wacha Mungu.... Na kinyume chake pia
 
Utangulizi.
mchawi ni mtu anae mchukia au kumfanyia kitu kibaya mtu mwingine ambae hana chuki wala baya alilofanya.
hata wewe ulieuliza uchawi ni nini unaweza kuwa mchawi.

Uchawi ndo icho sasa kinachofanywa na mchawi au mshirikina.
mfano kuna mtu anakukwamisha kivyovyote kwenye mambo yako wakati wewe unamuombea mtu huyo afanikiwe, bas mtu huyo ni mchawi.

Pia kuna uchawi ule mtu anautumia kumloga mtu mwingine, chawi hizi zipo nyingi na mtu anaezitumia chiwi hizi kuwafanyia wengine mabaya, mtu huyo ni mchawi.

Pia unaweza kuwa sio mchawi lakini ukafanya uchawi, kwa sababu uchawi unafanywa na mtu yoyote.
uchawi ukifanywa na mtu anaeujua uchawi husika, mtu huyo ndo mchawi.
uchawi ukifanywa na mtu asioujua uchawi husuka, mtu huyo ni mshirikina. washirikina ni watu wanaoenda kwa waganga,
mkuu hata humu jf wachawi wa maneno wapo mob :
 
Mkuu mimi nikianza kuhubiri nataka nihubiri wanawake waache uchawi waache kutosha wajomba zetu waache kuroga baba zetu waache kuroga kaka zetu badala yake wamtafute Mungu
Nawaheshimu sana wanawake.. Sina neno zaidi ya hilo
 
Mkuu sisi sote ni watu wazima, hakuna mtu mwenye balehe hapa we are seriously. This kampeni tokomeza uchawi kwa wanawake
Sawa kaka niwie radhi kwa post yangu.. Mimi heshima yangu kwa akina mama haina kiwango
 
Sijazaliwa na kukua kwenye nyakati za kupupu kwenye mapoti.
.
wanawake wadizaini hii ni wachawi wao na mama zao, akijifanya mwema mama ake anamfanya aujue tu ili akukalishe.
kilugha sisi tunasema "Akukuanzula" unakuwa upo kama haupo
Naomba uniwie radhi kwa post yangu
 
Ni kweli iko hivyo. Lakini kwa kipindi hiki hata wasomi wakubwa wenye elimu zao ni wachawi na wanapenda uchawi na ushirikina. Mfano asilimia kubwa ya Marais, Jaji, mahakimu, wabunge na viongozi wakubwa wanapenda uchawi.
 
Kuna neno ASILIMIA KUBWA. Hebu rudi tena usome Uzi, inawezekana wewe ni kati ya asilimia ndogo ila bado ni kilaza ndio maana hujaona neno ASILIMIA KUBWA. Pengine ni suala la muda tu utafika huko na wewe kwani huwa hawaanzi mara waingiapo ndoa.

Naunga mkono UZI, ni kweli wachawi
Karibu Moet &Chandon Rose imperial mkuu[emoji1635]
 
Dada sio siri nimetokea kukupenda!
Hisia za mapenzi juu yako zimenijaa!
Nimeamua kulieleza kuliko kulivundika likaja nishinda nikapotea kama upepo wa kipupwe kwenye ufukwe wa mapenzi!..

Itakuwa vyema ukinipatia nafasi ya moyo wako ili tulitungue penzi kwa mahaba mahabuba tujaze vibaba tuwaache wanaoruba!.
Ifungue taswira yako mpya kwa kunikabidhi lako huba mpenzi..

Naomba nisitie maneno kede ukajaniita mimi muongo
Hahahahahahaha Kenzy wewe ni Mtu wa Tanga?
 
Back
Top Bottom