Hivi kwanini wanawake wengi ni wachawi?

Mtoa mada ebu kuwa muwazi ili tujue namna ya kuchangia,achana na habari za kusikia,topic yako una weza thibitiaha kwa kutoa ushahidi wa lifestyle ya kwenu,Mf.Mama yako,dada zako,mashangazi,mashemeji zako nk,ili tuamini unachokisema maana kuleta mada mezani kwa maneno ya wana nzengo haitakuwa na maana
Mkuu unahitaji ushahidi gani wakati hata wewe umewekewa limbwata.
 
wanawake si wasamehevu hutunza vinyongo nakutaka kulipa visasi ndo maana wanaupenda ushirikina, ndo maana unaambiwa ukirogwa na mwanamke utapata tabu sana kuliko kurogwa na me

mfano mzuri tu hata kwenye ndoa zetu, ukikosewa na ke utasamehe na kusahau bt wao wanatunza ikitokea umemkosea tena yanaunganishwa mpaka basi, kutunza makosa huleta huibua roho mbaya ya visasi
Topic closed
 
Adam aliumbwa wa kwanza, hajakutana na shetani, ila Eva ni wa pili ila ni wa kwanza kukutana na shetani ana kwa ana. Jibu unalo. Siri zote za ulimwengu wa roho anazo mwanamke
 
Bila kusita nasema ivi Asilimia kubwa ya jamii ya kike ni wachawi ,washirikina.
Ila swala muhimu ni jinsi ya kuutoa huo uchawi walio nao tu hakuna namna . Mana wanatuumiza sana Hawa.
 
Mtoa mada upo sawa kabisa, kuna kipindi fulani niliwahi kuwa na ukaribu sana na babu fulani aliyekuwa mganga wa kienyeji. Mara nyingi wanawake ndiyo walikuwa wateja wake wengi na moja kati ya kesi zao kubwa ni kuroga waume zao, kutafuta dawa ya mvuto na mara chache sana kuona wakiomba dawa za biashara.

Kwa asilimia kubwa ya wanawake kwa nchi hii ndiyo wanaongoza kuwa washirikina, sijui kwa nchi zingine huko.
 
Una uhakika na ulichokiandika?
Kabisa mkuu, wanawake wa kibongo ni wachawi sana. Ndugu zetu wanazidi kupewa limbwata wanasahau hata familia zetu. Utakuta yaani una mjomba yako anabadirika ghafura yaani.
 
Wala halina mjadala hilo, tizama wanaume wao wengi ni mazuzu hufanya mambo kwa maslahi ya upande wa mke wake zaidi kuliko wake.
 
Uchawi wao wa kwanza ni mimba, wapili mtoto, watatu limbwata (nalijua), wanne kukuendea kabisa sehemu konki (nazijua) hapo hufurukuti.
.
ukishalishwa nyoya la mbwa huchomoki ng'o
 
Back
Top Bottom