Hivi kwanini wanawake wengi ni wachawi?

Katika mada za kijinga kuwahi kuanzishwa hii ni namba moja........mods futa huu uzi....huu ni udharirishaji wa wanawake.......ww lazima utakua na miaka 23 pumbav zako.......
 
Ngoja nikupe na back up ya Neno la Mungu kuhusu uchawi na mwanamke.

Imeandikwa:

“Asiachwe mwanamke mchawi kuishi”

Yani ikithibitika mwanamke kuwa mchawi anapaswa kuuawa

Mwanamke akiwa mwema ni mwema mazima na akiwa mbaya ni mbaya mazima!

Mwanamke akiwa mchawi anaharibu maisha ya watu kwa ukatili zaidi kuliko Mwanaume mchawi
 
Mtoa mada upo sawa kabisa, kuna kipindi fulani niliwahi kuwa na ukaribu sana na babu fulani aliyekuwa mganga wa kienyeji. Mara nyingi wanawake ndiyo walikuwa wateja wake wengi na moja kati ya kesi zao kubwa ni kuroga waume zao, kutafuta dawa ya mvuto na mara chache sana kuona wakiomba dawa za biashara.

Kwa asilimia kubwa ya wanawake kwa nchi hii ndiyo wanaongoza kuwa washirikina, sijui kwa nchi zingine huko.
Mimi si urafiki tu mpaka kutafuta miti shamba na wateja wakubwa sana ni kina dada ambao ukiwasikiliza vizuri wanakuwa wanahitaji wanaume wenye fedha ili kujikimu akina mama wao kuwafunga waume zao. Lakini pia kuna kipindi walikuja sana vijana wa kiume wao waliwalenga hasa watalii wanawake wa kizungu wanaokuja katika projects nchini au utalii ili wapate bahati ya kwenda huko ughaibuni. Ila wengi hawakufanikiwa huo ndiyo ukweli Sasa sijui kuna nini hapo ila wabongo kwa wabongo watu walileta Sana zawadi. Nikikumbuka hayo maisha najifunza Sana kuwahusu wanawake. Mpaka wengine waliwahi kukutana hapo kwa babu nyumbani wakapigana yani wanajuana vizuri wanamilikiwa na mtu mmoja. Babu akawatimua wote. Tangu kufariki kwake biashara ikaishia hapo. Ila tulijifunza mengi sana kuna mambo yapo ila ulihadisiwa huwezi amini. Ila tofautisha ukweli na uhalisia, tukibaki katika uhalisia tuwe makini mno na wanawake kuna mama alikuwa mdini kabisaa ila aliwahi kuja amtulize mmewe. Nimeandika kwa uzoefu siyo masimulizi.
 
Bwana wewe usisahau hao wanawake ni Mama zako,ni Dada zako,ni mkeo, ni mwanao sasa ebu kwanza chuja au ongea lililo kutokea ili tukusaidie japo mawazo.
 
X Wangu alijaribu weee! nikamtuma mchawi mwenzangu mwanamke amshughulikie dakika sifuri ni nyingi aliumizwa sana, baadaye nikamuomba msamaha yakaisha lkn alikuwa akiniona anakimbia
 
Bila kusita nasema ivi Asilimia kubwa ya jamii ya kike ni wachawi ,washirikina.
Ila swala muhimu ni jinsi ya kuutoa huo uchawi walio nao tu hakuna namna . Mana wanatuumiza sana Hawa.
Wewe mwanamke gani kakuumiza na ushirikina...Ndo nyie mnauwaga mama zenu kwa kuwatuhumu wanauwaulia watoto au wanawaroga....MAMA aangaike na wewe tangu tumboni...alafu eti aje kukuroga
 
Mtoa mada upo sawa kabisa, kuna kipindi fulani niliwahi kuwa na ukaribu sana na babu fulani aliyekuwa mganga wa kienyeji. Mara nyingi wanawake ndiyo walikuwa wateja wake wengi na moja kati ya kesi zao kubwa ni kuroga waume zao, kutafuta dawa ya mvuto na mara chache sana kuona wakiomba dawa za biashara.

Kwa asilimia kubwa ya wanawake kwa nchi hii ndiyo wanaongoza kuwa washirikina, sijui kwa nchi zingine huko.
Wewe ukaribu na.mganga wa kienyeji ulikuwa wa nini...kama nawewe sio miongoni mwao..?
 
Mkuu sisi sote ni watu wazima, hakuna mtu mwenye balehe hapa we are seriously. This kampeni tokomeza uchawi kwa wanawake
Mbona mnamshutumu mwanamke bila Uthibitisho..mjomba wako kukunyima hela ina maana kalogwa na mkewe..Ina maana wewe unataka upewe na ufaidi vya wengine... Ukinywimwa kuna mkono wa mtu...utaishi maisha ya shida kuhisi watu wanakuroga na wanahangaika na wewe tu
 
Wewe mwanamke gani kakuumiza na ushirikina...Ndo nyie mnauwaga mama zenu kwa kuwatuhumu wanauwaulia watoto au wanawaroga....MAMA aangaike na wewe tangu tumboni...alafu eti aje kukuroga
Hapana mzazi wangu hawezi kuniloga. Labda majirani
 
Back
Top Bottom