Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 695
- Thread starter
- #41
Basi hawa viumbe inabidi tuanzishe kampeni za kuwakomboa wanaume wenzetu walio tekwa na wanawake wachawi.Wala halina mjadala hilo, tizama wanaume wao wengi ni mazuzu hufanya mambo kwa maslahi ya upande wa mke wake zaidi kuliko wake.