Rahisi ni kufanya Dar es Salaam kuwa kibaha. Siyo rahisi kibaha kuwa dar es Salaam.Huwa najiuliza, viongozi wa hii nchi wana akili timamu kweli? Yaani wanajua kabisa raia wao wengi hawana elimu na wamejirundika Dar es Salaam kwa ajili ya jina. Kwanini wasiifanye wilaya ya Kibaha kuwa ndani ya Dar es Salaam ili watu wasambae kujenga huko?
Maana naona kutoka Kibaha mpaka Mbezi Magufuli ni karibu kuliko kutoka Kariakoo mpaka Mbezi Magufuli, ambapo ndio kituo kikubwa cha mabasi Tanzania. Aisee, namuomba Rais wetu Samia aipanue Dar es Salaam kwa kuchukua ardhi ya Kibaha, maana hata daladala zinapandisha nauli kila siku kwa kigezo cha Kibaha kuwa mkoa mwingine, wakati unakuta umbali ni mdogo tu.
Sio kweliRahisi ni kufanya Dar es Salaam kuwa kibaha. Siyo rahisi kibaha kuwa dar es Salaam.
Ukaribu kutokea wapi?Kibaha ingefaa iwe dar tu kutokana na ukaribu
Yaani sielewi kama wtaalamu wa mipango miji kama wanaishauri serikali au vipi. Natamani wawe wanaitwa kweye media serious tuwalize haya maswaliMkoa wa Pwani ugawanywe
Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na Mkuranga ziunde jiji la Dar Es Salaam.
Rufiji, Kilwa, Mafia na Kibiti ziunde Mkoa wa Pwani/Rufiji/Kilwa.
Mikoa miwili ya Tanzania bara yaani Morogoro na Tabora iwe mikoa ya Viwanda vikubwa/vizito zaidi na technologia ya majeshi yetu na taasisi nyingine kama za matibabu.
Hapa naamanisha Viwanda vizito vyote visiendelee kujengwa Mkoa wa Pwani tena bali vielikezwe Morogoro na Tabora na Viwanda vyepesi viendelee kujengwa Mkuranga kama eneo la rasmi la Viwanda, huku Bagamoyo, Kibaha na Kisarawe yawe makaazi tu lakini serikali ipime maeneo hayo yote ili kuepuka ujenzi holela wa makaazi, hii inalenga upanuzi wa Jiji la Dar Es Salaam.
Serikali ichore ramani mpya ya Dar Es Salaam ikiunganisha Halmashauri hizo katika miundombinu ya Barabara za kisasa, Reli, umeme, Maji, pia serikali itenge eneo kubwa zaidi kule Kisarawe kwa ajili ya ujenzi wa uwanja mwingine wa ndege, yawezekana miaka 50 mpaka 70 ijayo kutoka leo uwanja wa ndege wa Mwalimu Julias Nyerere utazidiwa kutokana na maendeleo makubwa na upanuzi wa miundombinu ya usafiri wa Anga.
Viwanda vyote ambavyo vimejengwa tayari Mkoa wa Pwani vibakie hivyo hivyo na/au vinaweza kuhamishwa hasa vile vizito na kuelekezwa Morogoro na Tabora.
Morogoro iwe sehemu ya kilimo cha kimkakati na Viwanda vikubwa/vizito ikiwemo na taasisi za utafiti wa kisayansi za majeshi yetu na technologi nyingine zielekezwe Morogoro na Tabora.
Na, Nicolas J Clinton Gabone
Kutokea morogoro.Ukaribu kutokea wapi?
Kwa nini Morogoro na sio Ikwiriri ?Kutokea morogoro.
Rudi kwenu na huo ushamba wakoHuwa najiuliza, viongozi wa hii nchi wana akili timamu kweli? Yaani wanajua kabisa raia wao wengi hawana elimu na wamejirundika Dar es Salaam kwa ajili ya jina. Kwanini wasiifanye wilaya ya Kibaha kuwa ndani ya Dar es Salaam ili watu wasambae kujenga huko?
Maana naona kutoka Kibaha mpaka Mbezi Magufuli ni karibu kuliko kutoka Kariakoo mpaka Mbezi Magufuli, ambapo ndio kituo kikubwa cha mabasi Tanzania. Aisee, namuomba Rais wetu Samia aipanue Dar es Salaam kwa kuchukua ardhi ya Kibaha, maana hata daladala zinapandisha nauli kila siku kwa kigezo cha Kibaha kuwa mkoa mwingine, wakati unakuta umbali ni mdogo tu.
Kabisaalafu tunataka mapinga iwe dar.magari ya bunju yafike.
tuwakomoe bajaj wanaopandisha bei usiku
Kibaha ni wilaya dar es salaam ni mkoaKwa nini Dar Es Salaam isiwe KIBAHA....!? 😎
Huko porini kwenu kisemvule utafananisha na kibaha hivi unaakili timamu kweliKama ni mipango endelevu
Basi wilaya za Mkuranga, kisarawe,Bagamoyo,Mafia , kibaha na Bagamoyo ziwe Dar es salaam.
Ili iundwe Metropolitan city yenye kuunganisha wilaya zote na BRT na Reli.
Inawezekana tukiwa na Nia ila sio sababu za kipuuzi za mleta mada kisa wilaya moja ipo karibu na stand.
Anauliza Kisenvule Kuna maendeleo gani, viwanda kule mkuranga unafikiri vimejengwa kimbwanindi?
We akili huna chawa wa ccmRudi kwenu na huo ushamba wako
Aisee
Maana naona kutoka Kibaha mpaka Mbezi Magufuli ni karibu kuliko kutoka Kariakoo mpaka Mbezi Magufuli,Huwa najiuliza, viongozi wa hii nchi wana akili timamu kweli? Yaani wanajua kabisa raia wao wengi hawana elimu na wamejirundika Dar es Salaam kwa ajili ya jina. Kwanini wasiifanye wilaya ya Kibaha kuwa ndani ya Dar es Salaam ili watu wasambae kujenga huko?
Maana naona kutoka Kibaha mpaka Mbezi Magufuli ni karibu kuliko kutoka Kariakoo mpaka Mbezi Magufuli, ambapo ndio kituo kikubwa cha mabasi Tanzania. Aisee, namuomba Rais wetu Samia aipanue Dar es Salaam kwa kuchukua ardhi ya Kibaha, maana hata daladala zinapandisha nauli kila siku kwa kigezo cha Kibaha kuwa mkoa mwingine, wakati unakuta umbali ni mdogo tu.
Huyo ni muisrael anataka kujitanua au ana nyumba anambiwa ipo mkoa wa pwani instead of darSio hoja,na wanaokaa Morogoro wanafanya KAZI Dar kesho Moro nayo tuifanye iwe dar