Hivi kwanini Kibaha isiwe Dar es Salaam?

Hivi kwanini Kibaha isiwe Dar es Salaam?

Bado mtoa mada ana hoja nzuri. Ni muda kuzuia ujenzi holela jijn Dar. Yaani usimamizi wa maendeleo ya ardhi ni very poor. Unakuwa na squatters Dar kwa ukosefu wa ardhi na mipango miji wakati mkoa jirani wa Pwani kuna ardhi ya kutosha. Kinahotakiwa ni kupima maeneo ya kutosha tena kuanzi SQM 1000, mji upanuke kwa ukisasa. Hata tuungae na MORO mradi miundobinu iwpo tu.
 
Bado mtoa mada ana hoja nzri. Ni mda sasa kuzuia ujenzi holela jijn Dar. Yaani usmamizi wa maendeleo ya ardhi ni very poor. Unakuwa a squatters Dar kwa ukosefu a ardhi na mipango miji wakati mkoa jrani wa Pwani kuna ardhi ya kutosha. Kinahotakiwa ni kupima maeneo ya kutosha tena kuanzi SQM 1000, mji upanuke kwa ukisasa. Hata tuungae na MORO mradi miundobinu iwpo tu.
Mkoa wa Pwani ugawanywe

Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na Mkuranga ziunde jiji la Dar Es Salaam.

Rufiji, Kilwa, Mafia na Kibiti ziunde Mkoa wa Pwani/Rufiji/Kilwa.

Mikoa miwili ya Tanzania bara yaani Morogoro na Tabora iwe mikoa ya Viwanda vikubwa/vizito zaidi na technologia ya majeshi yetu na taasisi nyingine kama za matibabu.

Hapa naamanisha Viwanda vizito vyote visiendelee kujengwa Mkoa wa Pwani tena bali vielikezwe Morogoro na Tabora na Viwanda vyepesi viendelee kujengwa Mkuranga kama eneo la rasmi la Viwanda, huku Bagamoyo, Kibaha na Kisarawe yawe makaazi tu lakini serikali ipime maeneo hayo yote ili kuepuka ujenzi holela wa makaazi, hii inalenga upanuzi wa Jiji la Dar Es Salaam.

Serikali ichore ramani mpya ya Dar Es Salaam ikiunganisha Halmashauri hizo katika miundombinu ya Barabara za kisasa, Reli, umeme, Maji, pia serikali itenge eneo kubwa zaidi kule Kisarawe kwa ajili ya ujenzi wa uwanja mwingine wa ndege, yawezekana miaka 50 mpaka 70 ijayo kutoka leo uwanja wa ndege wa Mwalimu Julias Nyerere utazidiwa kutokana na maendeleo makubwa na upanuzi wa miundombinu ya usafiri wa Anga.

Viwanda vyote ambavyo vimejengwa tayari Mkoa wa Pwani vibakie hivyo hivyo na/au vinaweza kuhamishwa hasa vile vizito na kuelekezwa Morogoro na Tabora.

Morogoro iwe sehemu ya kilimo cha kimkakati na Viwanda vikubwa/vizito ikiwemo na taasisi za utafiti wa kisayansi za majeshi yetu na technologi nyingine zielekezwe Morogoro na Tabora.

Na, Nicolas J Clinton Gabone
 
Ye kaona viongozi hawako timamu kwa hilo la kibaha kua dar na kumbe yeye ndo hayuko timamu...siunaona ushamkimbiza?umemsanua hayuko timamu
Mzee watu hawatongozi hivyo unafikiri ukiniongelea Mimi ndio utakubaliwa inaonesha we ni Domo zege
 
Unatukana viongozi halafu huna hoja wala logic

Arusha na Moshi kwenda Nairobi ni karibu kuliko kuja Dar na Dom, vipi mikoa hiyo nayo tuipeleke Kenya kwa ajili hiyo?

Kumbe nimeenda mbali kote huko kwa nini,
Kisemvule kwenda Kibaha ni mbali mno ambapo Kibaha ndiyo headquarters je kisemvule iingizwe Dar nayo maana kwenda posta itakuwa karibu zaidi?

Vipi Nanjirinji kwenda Masoko na Ruangwa? Vipi Nanganga kwenda Ruangwa na Ndanda? Vipi Manghweta kwenda Kongwa na Mpwapwa? Vipi kilindi au Kwediboma kwenda Songe? Vipi...?
 
Unatukana viongozi halafu huna hoja wala logic

Arusha na Moshi kwenda Nairobi ni karibu kuliko kuja Dar na Dom, vipi mikoa hiyo nayo tuipeleke Kenya kwa ajili hiyo?

Kumbe nimeenda mbali kote huko kwa nini,
Kisemvule kwenda Kibaha ni mbali mno ambapo Kibaha ndiyo headquarters je kisemvule iingizwe Dar nayo maana kwenda posta itakuwa karibu zaidi?

Vipi Nanjirinji kwenda Masoko na Ruangwa? Vipi Nanganga kwenda Ruangwa na Ndanda? Vipi Manghweta kwenda Kongwa na Mpwapwa? Vipi kilindi au Kwediboma kwenda Songe? Vipi...?
Akili hunawe ndio unafanya viongozi miungu watu halafu uko kisemvule Kuna maendeleo kulinganisha na kibaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom