Hivi kwanini Kibaha isiwe Dar es Salaam?

Hivi kwanini Kibaha isiwe Dar es Salaam?

Ipanuliwe taratibu mpaka Lindi nayo iitwe dar ili nauli kutoka dar-Lindi iwe chini sababu ni ndani ya dar.
 
Huwa najiuliza, viongozi wa hii nchi wana akili timamu kweli? Yaani wanajua kabisa raia wao wengi hawana elimu na wamejirundika Dar es Salaam kwa ajili ya jina. Kwanini wasiifanye wilaya ya Kibaha kuwa ndani ya Dar es Salaam ili watu wasambae kujenga huko?

Maana naona kutoka Kibaha mpaka Mbezi Magufuli ni karibu kuliko kutoka Kariakoo mpaka Mbezi Magufuli, ambapo ndio kituo kikubwa cha mabasi Tanzania. Aisee, Bora i Dar es Salaam ipanuliwe kwa kuchukua ardhi ya Kibaha, maana hata daladala zinapandisha nauli kila siku kwa kigezo cha Kibaha kuwa mkoa mwingine, wakati unakuta umbali ni mdogo.
Kiufupi tuchague tuwe na mkoa mmoja tu Dar/Pwani zingine siasa.

Tanzania ni moja Mipaka.ndani ya nchi moja ni mentality za kikoloni
 
Ipanuliwe taratibu mpaka Lindi nayo iitwe dar ili nauli kutoka dar-Lindi iwe chini sababu ni ndani ya dar.
Wajinga wanapandisha nauli kirahisi kwasababu eti mkoa mwingine unakuta sehemu karibu ila nauli mlima
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwa hali ilivyo ndani ya miaka 50 ijayo lazima Dar es Salaam itaongezewa ardhi
Miji iende vertical badala ya horizontal. Dar ingeenda vertical inavyotakiwa huenda isingekuwa imepita Manzese tukasave ardhi kwa matumizi mengine muhimu badala ma-slums kuenea hadi Mlandizi huko.
 
Sio hoja,na wanaokaa Morogoro wanafanya KAZI Dar kesho Moro nayo tuifanye iwe dar
Ndiyo!

ili Dar iwe jimbo. Mikoa ya Pwani, Dar,morogoro na Tanga ziunganishwe liwe jimbo moja, Dar es salaam State.

cas ni mikoa pia inayoendana pakubwa sana hata kwa baadhi ya maswala.

Hebu tuachane na upuuzi wa mikoa[emoji34]
Wakuu wa mikoa ni cheo ya kipumbavu sana na kimewekwa kisiasa tu, tuwr na majimbo machache ili kuondoa huu upumbavu wa wakuu wa mikoa na wilaya cas ni kuharibu tu pesa za waTanzania[emoji34]
 
Ipanuliwe taratibu mpaka Lindi nayo iitwe dar ili nauli kutoka dar-Lindi iwe chini sababu ni ndani ya dar.
Hoja zake hazina mashiko.
Huyu angetakiwa abaki huko face mpaka atakapo kuwa na kukomaa
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Sasahivi haina haja ya-kurundukana huko dar, njooni Dodoma ya watanzania kumenoga.
 
Morogoro mbali sana Chalinze Bagamoyo nazo ziingizwe Dar
Dar iwe jimbo. Mikoa ya Pwani, Dar,morogoro na Tanga ziunganishwe liwe jimbo moja, Dar es salaam State.

cas ni mikoa pia inayoendana pakubwa sana hata kwa baadhi ya maswala.

Hebu tuachane na upuuzi wa mikoa[emoji34]
Wakuu wa mikoa ni cheo ya kipumbavu sana na kimewekwa kisiasa tu, tuwr na majimbo machache ili kuondoa huu upumbavu wa wakuu wa mikoa na wilaya cas ni kuharibu tu pesa za waTanzania[emoji34]
 
Huwa najiuliza, viongozi wa hii nchi wana akili timamu kweli? Yaani wanajua kabisa raia wao wengi hawana elimu na wamejirundika Dar es Salaam kwa ajili ya jina. Kwanini wasiifanye wilaya ya Kibaha kuwa ndani ya Dar es Salaam ili watu wasambae kujenga huko?

Maana naona kutoka Kibaha mpaka Mbezi Magufuli ni karibu kuliko kutoka Kariakoo mpaka Mbezi Magufuli, ambapo ndio kituo kikubwa cha mabasi Tanzania. Aisee, Bora i Dar es Salaam ipanuliwe kwa kuchukua ardhi ya Kibaha, maana hata daladala zinapandisha nauli kila siku kwa kigezo cha Kibaha kuwa mkoa mwingine, wakati unakuta umbali ni mdogo.
Kwanini isiwe pwani?
 
Dar iwe jimbo. Mikoa ya Pwani, Dar,morogoro na Tanga ziunganishwe liwe jimbo moja, Dar es salaam State.

cas ni mikoa pia inayoendana pakubwa sana hata kwa baadhi ya maswala.

Hebu tuachane na upuuzi wa mikoa[emoji34]
Wakuu wa mikoa ni cheo ya kipumbavu sana na kimewekwa kisiasa tu, tuwr na majimbo machache ili kuondoa huu upumbavu wa wakuu wa mikoa na wilaya cas ni kuharibu tu pesa za waTanzania[emoji34]
We need maximum of 15 regions

Mikoa au majimbo havileti maendeleo
 
Labda Dar ingejumlisha Dar na Pwani.
Ili kuharakisha maendeleo na kulikuza Jiji.
Jiji la Dar lazima liwe kubwa kama kitovu cha Biashara.
 
Mtoa mada yupo sahihi kwa sababu mkoa wa pwani ni mkubwa sana na ardhi nyingi kule haifanyiwi kazi wakati Dar shida ya inflation ni nyumba na aradhi sababu ya udogo ni vizuri kipande kikakatwa hasa Kibaha na Bagamoyo kwenda Dar hii itaongeza thamani ya ardhi sana Bagamoyo na Kibaha na Dar itapata sehemu ya kupumuwa na kupunguza ugomvi wa viwanja space itakuwepo na maendeleo yatafika haraka. Hii ina faida kubwa kwa wakazi wa Kibaha na Bagamoyo ardhi zao zitapanda thamani.
 
Back
Top Bottom