Hivi kwanini Kibaha isiwe Dar es Salaam?

Hivi kwanini Kibaha isiwe Dar es Salaam?

Kwani kinachowazuia watu kujenga kibaha ni Kwa kua kibaha haiko dar?,hoja Yako Haina mashiko kwaiyo hata Tunduma iwe Zambia sababu ni karibu na Zambia au horohoro iwe Kenya sababu ya ukaribu na Kenya?
Huwezi kuelewa akili Yako ni fupi
 
Back
Top Bottom