buswagg
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,028
- 1,868
Ngoja niwaoneshe majimbo yatavyokua
Dar State - Dar,Pwani,Tanga,Morogoro.
State 2 - Mwanza,Kagera,Geita, Simiyu.
State 3 -Kigoma,Tabora,Shinyanga,Singia.
State 4 -Mara,Arusha,Manyara,Kilimanjaro.
State 5-Katavi,Rukwa,Mbeya.
State 6 - Njombe,Ruvuma,Lindi,Mtwara.
Dodoma ibaki na hadhi yake ya makao makuu ya nchi na serikali.
tutapunguza sana matumizi ya serikali na tutaongeza ufanisi sana wa utandaji wa serikali.Wakurugenzi wabaki kama walivyo, awepo tu mkurugenzi mkuu wa jimbo na wakurugenzi wachini yake katika maeneo ambayo yalikua mikoa.
Dar State - Dar,Pwani,Tanga,Morogoro.
State 2 - Mwanza,Kagera,Geita, Simiyu.
State 3 -Kigoma,Tabora,Shinyanga,Singia.
State 4 -Mara,Arusha,Manyara,Kilimanjaro.
State 5-Katavi,Rukwa,Mbeya.
State 6 - Njombe,Ruvuma,Lindi,Mtwara.
Dodoma ibaki na hadhi yake ya makao makuu ya nchi na serikali.
tutapunguza sana matumizi ya serikali na tutaongeza ufanisi sana wa utandaji wa serikali.Wakurugenzi wabaki kama walivyo, awepo tu mkurugenzi mkuu wa jimbo na wakurugenzi wachini yake katika maeneo ambayo yalikua mikoa.