Hivi kwa nini Rais Samia anawafanyia wamasai haya mateso? Kwanini anauza Tanganyika yetu?

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,983
75,476
Tumepiga kelele, tukamuomba, aache kuwaumiza wamasai kuwatoa kwenye ardhi yao. Kuuza rasilimali zetu kwa waarabu.

CCM, watanganyika wenzetu kwa kutetea matumbo yao wamepitisha sheria za hovyo as long as wanashiba na familia zao. WANAMPA SAPOTI SAMIA AUZE TANGANYIKA WHILE ZANZIBAR REMAINS INTACT!

Sasa tumeamua tumenyamaza. Hilo suluhisho kweli kunyamaza?

Nini kifanyike?
 
Life time commission
1. Kikwete gesi
2. Samia bandari hifadhi.
3. Mwinyi loliondo?
4. Mkapa?

Kila anayepita na kibangala chake
 
Tumepiga kelele, tukamuomba, aache kuwaumiza wamasai kuwatoa kwenye ardhi yao. Kuuza rasilimali zetu kwa waarabu ( ambao most likely ana unasaba nao). CCM, watanganyika wenzetu kwa kutetea matumbo yao wamepitisha sheria za hovyo as long as wanashiba na familia zao. WANAMPA SAPOTI SAMIA AUZE TANGANYIKA WJHILE ZANZIBAR REMAINS INTACT! sasa tumeamua Tumenyamaza. bdilo suluhisho kweli kunyamaza?

Nini kifanyike? ,
Watanganyika wenzako kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable kipara kipya chiembe FaizaFoxy etal watakushambulia ajabu!
 
Ardhi ni mali ya umma, sasa wazaramo wangekataa kuondoka kariakoo na posta, Dar ingekuwaje? Taratibu za nchi zinasema walipwe fidia (fair compensation at market value) hawa wanalipwa fidia, na nyumba wanajengewa.

Kama hawajui jinsi ya kuhamisha mizimu, waje DM
 
Tumepiga kelele, tukamuomba, aache kuwaumiza wamasai kuwatoa kwenye ardhi yao. Kuuza rasilimali zetu kwa waarabu ( ambao most likely ana unasaba nao). CCM, watanganyika wenzetu kwa kutetea matumbo yao wamepitisha sheria za hovyo as long as wanashiba na familia zao. WANAMPA SAPOTI SAMIA AUZE TANGANYIKA WHILE ZANZIBAR REMAINS INTACT! sasa tumeamua Tumenyamaza. Hilo suluhisho kweli kunyamaza?

Nini kifanyike? ,
Na wewe uza Zanzibar Yao au na wewe mfanyie kizimkazi
 
Tumepiga kelele, tukamuomba, aache kuwaumiza wamasai kuwatoa kwenye ardhi yao. Kuuza rasilimali zetu kwa waarabu.

CCM, watanganyika wenzetu kwa kutetea matumbo yao wamepitisha sheria za hovyo as long as wanashiba na familia zao. WANAMPA SAPOTI SAMIA AUZE TANGANYIKA WHILE ZANZIBAR REMAINS INTACT!

Sasa tumeamua tumenyamaza. Hilo suluhisho kweli kunyamaza?

Nini kifanyike?
Nyie hamjauza Kilimanjaro?🐼
 
Hakuna aliyeshindwa kuzikwa kisa hana shamba, uwe na nyumba ardhi au huna ukifa utazikwa tu, haya mambo ya mashamba yasitutor utu
 
Tumepiga kelele, tukamuomba, aache kuwaumiza wamasai kuwatoa kwenye ardhi yao. Kuuza rasilimali zetu kwa waarabu.

CCM, watanganyika wenzetu kwa kutetea matumbo yao wamepitisha sheria za hovyo as long as wanashiba na familia zao. WANAMPA SAPOTI SAMIA AUZE TANGANYIKA WHILE ZANZIBAR REMAINS INTACT!

Sasa tumeamua tumenyamaza. Hilo suluhisho kweli kunyamaza?

Nini kifanyike?
cha kufanya kwanza ni kuwaondoa wabunge wa COVID-19 mjengoni 🐒

mkishindwa hilo hakuna mnaloweza hata kidogo, Trust God 🐒
 
Hawajakaa sawa zanzibar wakaanza kuchezea kichapo wakikutwa na mapanga yao wakati miaka yote wanayavaa na hakuna shida...Wamasai kwa nn wasishitaki kwenye mambo ya kimila zao tuweke turubai
 
Ardhi ni mali ya umma, sasa wazaramo wangekataa kuondoka kariakoo na posta, Dar ingekuwaje? Taratibu za nchi zinasema walipwe fidia (fair compensation at market value) hawa wanalipwa fidia, na nyumba wanajengewa.

Kama hawajui jinsi ya kuhamisha mizimu, waje DM
We fala kweli Wazaramo waliondolewa au waliondoka wao Kwa nguvu za soko! Yaani utetezi mwingine unawadhalilisha walio ktuma.
 
Mbona hata Mwinyi kauza visiwa vingi hapo Zanzibar, naye ni kwa vile sio kwao?
 
Back
Top Bottom