Na kweli, watu wamekumbatia dini kiasi kwamba wanakuwa wavivu wa kufikiri nje ya box. Ni heri mtu ambaye ana dini lakini hajailimbatia sana, anaishi maisha yake huku anaenda kanisani/msikitini ambako naamini wengi wanaenda ili jamii isiwaone vibayaUkichagua kuwa mjinga na mvivu wa kufikiria lazima ukumbatie dini.
Watu wa dini watakwambia tumeletwa Duniani kumuabudu Mungu.
Vipi kuhusu mbuzi, ng'ombe na kuku. Hatuoninwakiabudu, kwa nini wao hawapewi mtihani?Dunia ni sehemu ya mtihani wa mwanadamu sasa tunakufa as if ndo tumemaliza mitihani yetu halafu tunaenda kuhesabiwa siku ya kiama kama ulitenda mabaya au maovu
Yni ni mfano wa maisha ya shule tu
Mnyama alokua hana pembe nae atapewa pembe amlipizie kisasi baada ya hapo watageuzwa mchanga tu na habari yao ndo imeishaVipi kuhusu mbuzi, ng'ombe na kuku. Hatuoninwakiabudu, kwa nini wao hawapewi mtihani?
Umewahi kuona jinsi viboko wanavyopigana wakiwa kwenye maji, maana yake wana akili wanaelewa wakikorofishana. Kwa nini viboko wakigombana sio dhambi halafu sisi kwetu ni dhambi?
Kosa letu nini, kuwazidi viumbe wengine akili au?
We jamaaa siku nikipita ip adress yako nakutumia wahuniKina Hawa watu wa spiritual na issue zao za reincarnation sjui ni kweli au ndo km mambo ya mbamizwa kobaa cc Poor Brain na mwenzie yupo jikoni sasa anaandaa chai mbamizwa futaa cc secretarybird
Ndo nakunywa hapaHebu kunywa bia wewe...moto wa milele huo vepee
Ninaish Upanga alykhan road njoo nikutoe shingo mbamizwa kobaaWe jamaaa siku nikipita ip adress yako nakutumia wahuni
Kweli unaweza ukajitengenezea mazingira yako ya ku enjoy maisha ukaishi kwa raha hadi unakufa na ndio kitu cha maana
Ila tu sielewi hii cycle ipo ajili gani. Mfano kuna watu walikuwepo karne 17 zilizopita huko sasahivi hata hawapo tena, walikuja wakaishi wakafa na sisi leo 2026 tunaendelea kurudia kilekile wanachofanya, ila huu mzunguko una lengo gani?
Nashindwa jinsi ya kuliweka swali vizuri likaeleweka kirahisi
Ngoja nimpangilie huyu secretarybird 😂😂😂🫵Ninaish Upanga alykhan road njoo nikutoe shingo mbamizwa kobaa
Hivi Mbaga Jr huwa unavuta bangi gani lakini😅Tupo duniani kupiga nyeto then tufe
Mkuu Kiranga inaonekana wewe Una Maktaba ya Vitabu nyumbani kwako kabisa😅Nimekuwekea hivi vitabu viwili hapa.
Ni vitabu vizito kifalsafa.
Asili yake ni ya kiroho, na imani haijengwi kwa kumwona bali kwa kuamini hata bila kuona.Hivi kwa nini Mungu hataki tumwone live 🤔
Maana akijionesha itakuwa rahisi watu kuamini kuwa tumekuja hapa kumwabudu yeye
60 tu ni mingi sana. Mingi sana. 80-120 labda kama umezaliwa leo😆Miaka 80-120 ijayo hatutakuwepo hapa duniani