Hivi kusudi la maisha ni nini?

Hivi kusudi la maisha ni nini?

Kwani kusudi la maisha ni nini?

Miaka 80-120 ijayo hatutakuwepo hapa duniani, tutakufa, tutazikwa na kuwa mavumbi. Kitu kitakachobaki labda ni skeleton zetu chini ya ardhi kama ushahidi kuwa tulikuwepo.

Watu wanasoma, wanapata ajira, wanakuwa na familia halafu mwisho wa siku wanakufa 🙄
Wakifa wanakuja wengine wanazaliwa, wanaishi, wanapata familia halafu wanakufa. Wakifa hao pia wanakuja wengine wanazaliwa wanaishi halafu wanakufa, na hao wakifa wanazaliwa wengine halafu wanaendeleza mzunguko uleule. Ili iweje? Hii cycle ya existence ina maana gani?

Sio sisi tu, kuanzia kuku, mbuzi, samaki, simba yani viumbe vyote vinakuja duniani, vinaishi halafu vinakufa. Vikifa vinakuja viumbe vingine kuendeleza mzunguko uleule.

Cha kushangaza kuna hadi small creatures kama bakteria ambavyo navyo vinaishi vinakufa nk, ili iweje 🧐🙄

Aliyetengeneza huu mfumo ni nani, na lengo lake lilikuwa ni lipi haswa? Nashindwa kuelewa kabisa hii cycle. It feels so meaningless
Kusaidia viumbe vingine vi exist on the future. Kwa maana gani unasaidia kureproduce other beings, feed and your death helps others to exist on the future.

🤔🤔🤔I don't think there nothing than this.
 
Kwani kusudi la maisha ni nini?

Miaka 80-120 ijayo hatutakuwepo hapa duniani, tutakufa, tutazikwa na kuwa mavumbi. Kitu kitakachobaki labda ni skeleton zetu chini ya ardhi kama ushahidi kuwa tulikuwepo.

Watu wanasoma, wanapata ajira, wanakuwa na familia halafu mwisho wa siku wanakufa 🙄
Wakifa wanakuja wengine wanazaliwa, wanaishi, wanapata familia halafu wanakufa. Wakifa hao pia wanakuja wengine wanazaliwa wanaishi halafu wanakufa, na hao wakifa wanazaliwa wengine halafu wanaendeleza mzunguko uleule. Ili iweje? Hii cycle ya existence ina maana gani?

Sio sisi tu, kuanzia kuku, mbuzi, samaki, simba yani viumbe vyote vinakuja duniani, vinaishi halafu vinakufa. Vikifa vinakuja viumbe vingine kuendeleza mzunguko uleule.

Cha kushangaza kuna hadi small creatures kama bakteria ambavyo navyo vinaishi vinakufa nk, ili iweje 🧐🙄

Aliyetengeneza huu mfumo ni nani, na lengo lake lilikuwa ni lipi haswa? Nashindwa kuelewa kabisa hii cycle. It feels so meaningless
Ulimwengu una kelele nyingi! Mwombe Mungu kila wakati, kusudi lako utaliona ukiwa mtulivu.
 
Muhimu tuyape maana maisha tu ili tupate cha kutufari , ndio maana akili ya binadamu ikaunda IMANI ya Mungu ili kuyapa maana maisha tu
Yeah ni sahihi
Najua kuna watu wengi sana walijiuliza kama mimi na kuona kama maisha hayana maana. Walipoona vitu wamevikuta na vinaendelea kuwepo hata hawaelewi vimetoka wapi, hatima yake nini, ili iweje nk wakaamua kutengeneza dini. It was a genius idea, ili kujiepusha na haya maswali ambayo hatuwezi kupata majibu yake
 
Niliposema cycle sikumaanisha kuwa mtu mmoja anazaliwa leo halafu anakuja kuzaliwa tena na tena na tena. Pia sikumaanisha kuwa tunazunguka kwenye evolution eti kuwa ipo siku tutakuwa primates tena kurudi kwenye single cell organism, hapana

Cycle ninayozungumzia ni ya hivi vitendo KUZALIWA -- KUISHI-- KUFA
Au simply KUJA DUNIANI---- KUISHI---- KUONDOKA DUNIANI
Yani haijalishi kama mtu amezaliwa mwaka 1300 au amezaliwa 2026, wote vitendo ni vilevile, kuzaliwa halafu wanaishi halafu anakufa, vinajirudia vitendo vilevile kwa watu tofauti tofauti miaka nenda miaka rudi

Pia kuhusu terminology, haijalishi ni cycle, series or whatever. Still I can't understand what's the point of it
Ardhi ni ndogo hivyo kifo ni lazima ili kuwe na space la sivyo dunia nzima tungekuwa wengi tumejazana hakuna hata kutembea
 
Kusaidia viumbe vingine vi exist on the future. Kwa maana gani unasaidia kureproduce, feed and your death helps others to exist on the future.

🤔🤔🤔I don't think there nothing than this.
It's true there's nothing more than that
Unazaliwa ili kusaidia viumbe vingine vi exist in future, ambavyo navyo vitakuwepo ili visaidie viumbe vingine viwepo in future, na hivyo vitakavyokuja vitakuwepo kwa lengo hilohilo
Sidhani kama kuna maana nyingine ya maisha zaidi ya hapo
 
{ وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِیَعۡبُدُونِ }
[Surah Adh-Dhāriyāt: 56]

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi

{ مَاۤ أُرِیدُ مِنۡهُم مِّن رِّزۡقࣲ وَمَاۤ أُرِیدُ أَن یُطۡعِمُونِ }
[Surah Adh-Dhāriyāt: 57]
Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe

إِنَّ ٱللَّهَ هُوَ ٱلرَّزَّاقُ ذُو ٱلۡقُوَّةِ ٱلۡمَتِینُ (58) }
[Surah Adh-Dhāriyāt🙂 Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti.58]


Umeumbwa ili uje kufanya ibada
Na baada ya kufa kuna maisha mazuri kwa watu wema na makazi ya moto kwa watu wabaya

Allah anasema dunia haikuumbwa kimchezo mchezo,ila kuna kusudio maalumu,hapa tunapita tu,kikubwa tujue maisha ya hapa duniani ni pumbao na upuuzi mtupu,ila maisha yajayo ndio ya kudumu na milele

Shida ya wanadamu maisha haya ya kipuuzi ndio tumeyafanya ya milele,najua kuna watu hawataelewa hili,subiri nami nasubiri mpaka siku ya hukumu
 
{ وَمَا ٱلۡحَیَوٰةُ ٱلدُّنۡیَاۤ إِلَّا لَعِبࣱ وَلَهۡوࣱۖ وَلَلدَّارُ ٱلۡـَٔاخِرَةُ خَیۡرࣱ لِّلَّذِینَ یَتَّقُونَۚ أَفَلَا تَعۡقِلُونَ }
[Surah Al-Anʿām: 32
Ili iweje
Na maisha ya dunia si chochte ila ni mchezo na pumbao tu. Na hakika nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa wanao mcha Mungu. Basi, je, hamtii akilini?
]
 
Bwashee sio kama hamjui ukweli nyinyi ila matamanio yenu yanawaongoza vile yanavotaka na ndio Mungu wenu
Hhahaha kila mwenye imani yake atasema hivi , muhimu unayapa maisha maana ili upate sababu ya kuishi kwa faraja fulani sio mbaya
 
Back
Top Bottom