💪💪Ngoja nimpangilie huyu secretarybird 😂😂😂🫵
The same to humanKuku zinatotolewa na kuliwa tu! Ngoja waje..🤔
Nimemjibu hivyo pia 😄😄😄Wote tunaliwa tu sio kuku pekee ,usijisahaulishe.
Ni issues ya reproduction, hatuna tofauti na miti memea wadudu na wanyama , tuna kufa kwaajili ya kuipa nafasi Ardhi iweze kufanya reproduction kwaajili ya vizazi vijavyo vya mimea wanyama miti wadudu bakteria Virus and natural resources,Kweli unaweza ukajitengenezea mazingira yako ya ku enjoy maisha ukaishi kwa raha hadi unakufa na ndio kitu cha maana
Ila tu sielewi hii cycle ipo ajili gani. Mfano kuna watu walikuwepo karne 17 zilizopita huko sasahivi hata hawapo tena, walikuja wakaishi wakafa na sisi leo 2026 tunaendelea kurudia kilekile wanachofanya, ila huu mzunguko una lengo gani?
Nashindwa jinsi ya kuliweka swali vizuri likaeleweka kirahisi
😁Tupo duniani kupiga nyeto then tufe
😄😄 Mungu anapenda sifa kama dully SykesDuh 🙄
Hongera yenu mliotafuta imani thabiti na kuishikilia, ni vizuri sana for mental health
Binafsi kila nikifikiria wazungu na waarabu walivyonyanyasa waafrika, kuwaibia rasilimali na kuwafanya watumwa halafu haohao ndio wakatuletea dini kwa kipindi hicho, nawaona kama matapeli
Kwa mfano Mungu anataka tufanye ibada ili iweje
Sad 😭maisha ni ubatiliHilo swali nilijiuliza siku moja nikiwahi hospital nimelazwa.
Nilijiuliza; kwahiyo nilizaliwa ili mwisho wa siku nije nife? Kama ni hivyo bora nisingezaliwa kabisa, maana nisingepitia hayo maumivu niliyokuwa nayapitia.
😄😄 Watakuhukumu Kwa kukuita kafiriHapo kukujibu mpaka niwe kwenye hizo imani zako tofauti na hapo tupo tofauti mno , kitu mnakosea ni ku judge kila kitu na kwa kila mtu kwa misingi ya imani yako , binafsi mimi sivutiwi na kwenda huko peponi sasa hapo utani hukumu vipi kwa imani yako?
Utaliwa vizuri tuHakuna wa kunila, hayupoo 🔨
Hakuna munguDuniani tunahukumiana hpa hpa ila kwa Mungu nae ana taratibu zake kwaio usifananishe taratibu za Duniani na za Mungu
Shemeji hakuli Au mnakulana !?Hakuna wa kunila, hayupoo 🔨
Ngoja tuone..Utaliwa vizuri tu
Hakuna anayemla mwenzie,Shemeji hakuli Au mnakulana !?