Hivi kusudi la maisha ni nini?

Hivi kusudi la maisha ni nini?

Dunia ni sehemu ya mtihani wa mwanadamu sasa tunakufa as if ndo tumemaliza mitihani yetu halafu tunaenda kuhesabiwa siku ya kiama kama ulitenda mabaya au maovu

Yni ni mfano wa maisha ya shule tu
fafanua vizuri chanzo cha mitihani yote hii kilianzia wapi ili wakuelewa kuzudi la kuletwa mwanadamu na ahadi alizopewa kama atashinda hili jaribio.
 
KUHUSU MAANA YA MAISHA:

Hakuna maana ya maisha,
Wala hakuna anayejua maana halisi ya maisha yake.

Kila mtu anaishi kwa kutumia taarifa alizozipokea tangu akiwa utotoni.

Malezi, utamaduni, eneo, lugha, na watu waliokuzunguka ndiyo wanaamua maana yako ya maisha.
Ukibadilisha mazingira tu na “maana” nayo hubadilika.

Maana si ya dunia nzima.
Imefungwa kijiografia.
Inategemea ulipozaliwa, ulikokulia, ulichokisoma, ulichokiona na ulichokisikia.

Mfano:
Ungezaliwa UAE huenda ungekua mufti matata sana 😆|

Kuna watu wanafika mbali mpaka wanatfsiri maana ya maisha kupitia kazi,
Mfano nimeona watu ambao biashara au kazi zao zinawaingizia kipato kizuri wanadai kwamba wanaishi "Maana ya maisha yao".

Huku wanaofanya kazi au biashara za aina hiyo hiyo ila hawapati matokeo labda kwasababu ya mazingira waliyopo wanaambiwa bado hawajaijua "Maana ya maisha yao".

Kazi au bishara ni ile ile ila mazingira na hali vimetofautisha maana ya maisha yao.

Kama maana inakuwa maana pale inapoleta matokeo chanya tu inapoteza maana,
Kwasababu siku ikileta matokeo hasi kunakuwa hakuna maana tena.

Mkristo atakwambia maana ni kumjua Jehovah na amri zake na kumkiri Yesu kama mwokozi.

Muislamu atakwambia maana ni kumcha Allah, kufuata amri zake na kusikiliza maagizo ya Muhamad S.A.W.

Mbudha, Myahudi, Muafrika, Tajiri, Masikini, Msomi, Mwanafalsafa na kila mtu atakupa tafsiri yake ya "Maana ya maisha".

Kama kweli maisha yana maana, bhasi ilipaswa iyo maana iwe universal na siyo itofautiane kati ya mtu na mtu, sehemu na sehemu.

Hivyo Maisha hayana maana yeyote,
Ni wewe binafsi tu ndiye unayetafsiri maana ya maisha yako.

KUHUSU KIFO:

According to the Law of conversation of energy and matter.

Mtu haufi tottally,
Unakufa Ufahamu (consciousness), Kumbukumbu (Memories) na Utambulisho wako (Identity).
Ila matter and energy yako inabadilika in other form.

Kiumbe kinapokufa, vitu vya mwili wake havipotei (Hydrogen, Oxygen, Calcum, etc.).
Ila vinasambaa katika mazingira.
Bakteria wanavunja tishu za mwili, na elementi zote zinarudi kwenye udongo, hewa, na maji.

Mimea inazichukua kutoka kwenye udongo.
Wanyama wanakula tena mimea hiyo,
Hivyo, atomu zile zile zinaingia tena katika viumbe vingine vilivyo hai.

Kwahiyo usiogope kufa bali furahia kufa kwasababu ukifa unasaidia mzunguko wa uhai.
 
Kwa kinachoendelea hapa Duniani kama kungekuwa Kuna kujua au kuona sidhani kama Kuna mtu angetamani kuzaliwa.

Ila Sasa uzuri ni kwamba kama ambacho hukupanga kuzaliwa huna sababu ya kuhofia kufa.

Tunahofu Kwa sababu tumelishwa pumba na watu wa dini na dini zililetwa Ili kusaidia au ku neutralize harshness ya mwanadamu ambae hana tofauti na wanyama isipokuwa utashi.

Sasa huu utashi ndio umeleta gage,ume set standards za kibinadamj na reasoning au judgement ya kusema hikli tuite baya na hili zuri adhabu yake ni a au b na Kwa kuwa hatujua tulikotoka kabla basi ndio ikaletwa hiyo narration ya uwepo wa Mungu na adhabu zitakazofuatia baada ya kifo.
chanzo cha hzi dini ni kipi? Je hv vitabu Quran, injili, taurati na zaburi vyanzo vyake ni nini? na vimekuja kwa lengo lipi katika ulimwengu huu?
 
Kwani kusudi la maisha ni nini?

Miaka 80-120 ijayo hatutakuwepo hapa duniani, tutakufa, tutazikwa na kuwa mavumbi. Kitu kitakachobaki labda ni skeleton zetu chini ya ardhi kama ushahidi kuwa tulikuwepo.

Watu wanasoma, wanapata ajira, wanakuwa na familia halafu mwisho wa siku wanakufa 🙄
Wakifa wanakuja wengine wanazaliwa, wanaishi, wanapata familia halafu wanakufa. Wakifa hao pia wanakuja wengine wanazaliwa wanaishi halafu wanakufa, na hao wakifa wanazaliwa wengine halafu wanaendeleza mzunguko uleule. Ili iweje? Hii cycle ya existence ina maana gani?

Sio sisi tu, kuanzia kuku, mbuzi, samaki, simba yani viumbe vyote vinakuja duniani, vinaishi halafu vinakufa. Vikifa vinakuja viumbe vingine kuendeleza mzunguko uleule.

Cha kushangaza kuna hadi small creatures kama bakteria ambavyo navyo vinaishi vinakufa nk, ili iweje 🧐🙄

Aliyetengeneza huu mfumo ni nani, na lengo lake lilikuwa ni lipi haswa? Nashindwa kuelewa kabisa hii cycle. It feels so meaningless

Taifa la Marekani limepata Uhuru wake kutoka Uingereza zaidi ya miaka 200 iliyopita. Jiulize wale watu walioishi miaka 200 iliyopita wakati Taifa la Marekani bado wanaishi???

TANZANIA umepata Uhuru wa Tanganyika Mwaka 1961 na Zanzibar Mwaka 1964 na Muungano ukapatikana Mwaka 1964.

Je, wale walioishi kipindi Tanzania unapata Uhuru bado wapo? Tutegemee miaka mingapi na wao wade? Na hiki kizazi cha Gen Z tutegemee na wao watampata Rais wao wa kizazi chao, Je CDM na CCM wameshamuandaa Gen Z wakuongoza nchi???

Maana baada ya Mh. Samia anayefuata ni Mh. Mwinyi au Mh. Riz 1 ili tupate Busara zaidi ya kutoka kwa Hawa viongozi ambao Baba zao walikuwa Maraisi wa nchi.

Umejiandaaje????
 
Unakosa uhondo.
Hili nakubaliana nalo, maisha hayana kusudi ila sisi tunaweza kuyapa maisha yetu kusudi
Inabidi nianze kusoma vitabu, maana ukitoa vitabu vya darasani sijawahi kusoma kitabu kinachohusu vitu ambavyo nina interest navyo
 
Taifa la Marekani limepata Uhuru wake kutoka Uingereza zaidi ya miaka 200 iliyopita. Jiulize wale watu walioishi miaka 200 iliyopita wakati Taifa la Marekani bado wanaishi???

TANZANIA umepata Uhuru wa Tanganyika Mwaka 1961 na Zanzibar Mwaka 1964 na Muungano ukapatikana Mwaka 1964.

Je, wale walioishi kipindi Tanzania unapata Uhuru bado wapo? Tutegemee miaka mingapi na wao wade? Na hiki kizazi cha Gen Z tutegemee na wao watampata Rais wao wa kizazi chao, Je CDM na CCM wameshamuandaa Gen Z wakuongoza nchi???

Maana baada ya Mh. Samia anayefuata ni Mh. Mwinyi au Mh. Riz 1 ili tupate Busara zaidi ya kutoka kwa Hawa viongozi ambao Baba zao walikuwa Maraisi wa nchi.

Umejiandaaje????
Mimi sijaridhika na uongozi wa Tanzania na there's nothing I can do about it
Waendelee kupeana nchi kwenye ukoo wao wanavyotaka, maana ni kama wapo kwenye mission ya kuharibu taifa. Watajijua wenyewe
 
Hawa kuku samaki wanafanana, sisi binadamu hatufananani! Atakaye nireplace hatokuja kama mimi🥺 i wanna live forever😫
Kuku na samaki wanafanana machoni pako. Wao wenyewe wanajua kutofautishana 🙂
 
Kwani kusudi la maisha ni nini?

Miaka 80-120 ijayo hatutakuwepo hapa duniani, tutakufa, tutazikwa na kuwa mavumbi. Kitu kitakachobaki labda ni skeleton zetu chini ya ardhi kama ushahidi kuwa tulikuwepo.

Watu wanasoma, wanapata ajira, wanakuwa na familia halafu mwisho wa siku wanakufa 🙄
Wakifa wanakuja wengine wanazaliwa, wanaishi, wanapata familia halafu wanakufa. Wakifa hao pia wanakuja wengine wanazaliwa wanaishi halafu wanakufa, na hao wakifa wanazaliwa wengine halafu wanaendeleza mzunguko uleule. Ili iweje? Hii cycle ya existence ina maana gani?

Sio sisi tu, kuanzia kuku, mbuzi, samaki, simba yani viumbe vyote vinakuja duniani, vinaishi halafu vinakufa. Vikifa vinakuja viumbe vingine kuendeleza mzunguko uleule.

Cha kushangaza kuna hadi small creatures kama bakteria ambavyo navyo vinaishi vinakufa nk, ili iweje 🧐🙄

Aliyetengeneza huu mfumo ni nani, na lengo lake lilikuwa ni lipi haswa? Nashindwa kuelewa kabisa hii cycle. It feels so meaningless
Kabla hujazaliwa pengine ulikuwa nafsi hivyo uko duniani kuishibisha nafsi yako kwa mema ya nchi then itarudi ilikokuwa na vyote vilivyopo vita pita lakini inatakiwa vipite mikononi mwako then utapimzika so die as a legendary
 
Hua sibishani na watu kama nyinyi

Mana nyie ndo mnotia sukari kwenye nanasi!
Shabbash kabisaaa
Sukari na nanasi vina husiana vipi na mungu

Jinga , Mungu angekuwepo asinge waacha wapalestina wanao muamini Allah kuwa ndiye mungu wao wapewe mkong'oto Kila siku

Mungu angekuwepo asinge Acha Muhammad apigane vita sijui ya jihad kwaajili ya kuusimamisha uislam !! Angefanya tu miujiza yake na watu wote automatically wange jikuta baada ya kuamka asubuhi wame amua wao wenyewe kuwa waislam bila ya hata kupigana vita , hata wale waliokuwa wanampinga Muhammad na wao wangejikuta automatic wana kuwa waislam kusingekuwa na haja ya kuchinjana
 
Sukari na nanasi vina husiana vipi na mungu

Jinga , Mungu angekuwepo asinge waacha wapalestina wanao muamini Allah kuwa ndiye mungu wao wapewe mkong'oto Kila siku

Mungu angekuwepo asinge Acha Muhammad apigane vita sijui ya jihad kwaajili ya kuusimamisha uislam !! Angefanya tu miujiza yake na watu wote automatically wange jikuta baada ya kuamka asubuhi wame amua wao wenyewe kuwa waislam bila ya hata kupigana vita , hata wale waliokuwa wanampinga Muhammad na wao wangejikuta automatic wana kuwa waislam kusingekuwa na haja ya kuchinjana
Hujui uliongealo pole sanaa
 
Kwani kusudi la maisha ni nini?

Miaka 80-120 ijayo hatutakuwepo hapa duniani, tutakufa, tutazikwa na kuwa mavumbi. Kitu kitakachobaki labda ni skeleton zetu chini ya ardhi kama ushahidi kuwa tulikuwepo.

Watu wanasoma, wanapata ajira, wanakuwa na familia halafu mwisho wa siku wanakufa 🙄
Wakifa wanakuja wengine wanazaliwa, wanaishi, wanapata familia halafu wanakufa. Wakifa hao pia wanakuja wengine wanazaliwa wanaishi halafu wanakufa, na hao wakifa wanazaliwa wengine halafu wanaendeleza mzunguko uleule. Ili iweje? Hii cycle ya existence ina maana gani?

Sio sisi tu, kuanzia kuku, mbuzi, samaki, simba yani viumbe vyote vinakuja duniani, vinaishi halafu vinakufa. Vikifa vinakuja viumbe vingine kuendeleza mzunguko uleule.

Cha kushangaza kuna hadi small creatures kama bakteria ambavyo navyo vinaishi vinakufa nk, ili iweje 🧐🙄

Aliyetengeneza huu mfumo ni nani, na lengo lake lilikuwa ni lipi haswa? Nashindwa kuelewa kabisa hii cycle. It feels so meaningless
Mada yako inafikirisha ila umejibagua na kujipendelea sana kama binadamu(labda kwa vile una utashi jambo ambalo viumbe wengine hawana).
Lakini kiujumla swali lingekuwa "Ulimwengu ulianza lini na ni nini madhumuni/lengo la uwepo wake".
Swali kama hilo lingebeba maana pana zaidi.

Kwa upande wangu ninajiona sina tofauti na kiumbe mwingine yeyote anayeishi hapa duniani(wanyama, wadudu, mimea nk) ambao kimsingi wanaishi kwa kutegemeana(kiumbe kuishi kwa kutegemea kifo cha mwingine)..lengo kubwa likiwa kuifanya dunia kuwa active (hai).
Swali GUMU hapo ni je, Dunia inatakiwa kuwa hai kwanini na kwa sababu gani!?

Kwa hiyo jibu la swali lako....Viumbe wote hai ni malighafi ya kuifanya dunia active.
 
Duh 🙄
Hongera yenu mliotafuta imani thabiti na kuishikilia, ni vizuri sana for mental health
Binafsi kila nikifikiria wazungu na waarabu walivyonyanyasa waafrika, kuwaibia rasilimali na kuwafanya watumwa halafu haohao ndio wakatuletea dini kwa kipindi hicho, nawaona kama matapeli

Kwa mfano Mungu anataka tufanye ibada ili iweje
😁😁😁 Wakati Israel inajilinda na maadui kwa teknolojia ya Iron dome kwenye anga lao sisi wafia dini wa kibongo tunasema tunalindwa na Mungu wa Israel.
 
Back
Top Bottom