johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Posho za vikaoHivi viongozi pesa wanatafuta vp
Au kuna mabiashara wanafanya mzee
Ova
Posho za vikaoHivi viongozi pesa wanatafuta vp
Au kuna mabiashara wanafanya mzee
Ova
Hizi ni aina ya hotuba ya viongozi waliosimama katika ukweliKatika pitapita zangu nimekutana na video ya Anthon Mtaka akizungumza kuhusu Elimu, hii hapa chini View attachment 2289897
Nikaona kaongea ukweli fulani ,Hivi wana JF ,mtu ambae hajawahi somesha mtoto shule ya serikali hasa ya kata anawezaje akawa na mipango ya maana kuhusu hizi shule?
Duh posho gani hizooPosho za vikao
Kiongozi wa namna hii siku zote huitwa "mnafiki" na kamwe hawezi kuwa na mawazo yenye tija na yenye matokeo endelevu..!Katika pitapita zangu nimekutana na video ya Anthon Mtaka akizungumza kuhusu Elimu, hii hapa chini View attachment 2289897
Nikaona kaongea ukweli fulani ,Hivi wana JF ,mtu ambae hajawahi somesha mtoto shule ya serikali hasa ya kata anawezaje akawa na mipango ya maana kuhusu hizi shule?
Kusomesha mtoto mahela mengi siyo ubora wa elimu ni ulimbukeni tu na kutaka kujenga social classes hakuna kingine. Ktk matokeo ya form six mwaka huu miongoni mwa shule kumi bora zipo shule za kata mfano Ziba Sekondari iliyoko Mkoa wa Tabora Wilaya ya Igunga, Dareda Sekondari iliyoko Mkoa wa Manyara Wilaya ya Babati.
Wakifika Vyuo vikuu wale waliosoma shule za gharama kubwa wanapigwa mbaya sana na wale waliotoka shule za serikali tena mnazoita za kata. Mi nachoomba serikali mboreshe shule zetu za serikali waache wajinga wachezee pesa zao sana sana wataambulia kujua zaidi lugha ya wakoloni.
Hatari sn
Usijali. Kuna wengine shule wanaenda kufuata elimu ila wapate jina. Lakini wengine wanaenda shule kutafuta jina ili wainunue elimu. BIG difference! BIG with a ^B!^Ndiyo maanake kwanini usomeshe kwa gharama kama shule za serikali kweli zinatoa elimu bora?
Na huyu jamaa baada ya hotuba hiyo alishambuliwa sana kwa kusema ukweli huu!Katika pitapita zangu nimekutana na video ya Anthon Mtaka akizungumza kuhusu Elimu, hii hapa chini View attachment 2289897
Nikaona kaongea ukweli fulani ,Hivi wana JF ,mtu ambae hajawahi somesha mtoto shule ya serikali hasa ya kata anawezaje akawa na mipango ya maana kuhusu hizi shule?
CCM imeua elimu yetuUsijali. Kuna wengine shule wanaenda kufuata elimu ila wapate jina. Lakini wengine wanaenda shule kutafuta jina ili wainunue elimu. BIG difference! BIG with a ^B!^
Pointi ya msingi ndiyo hiyo mkuu UPOPO Why, viongozi wetu wenye akili timamu, wanaamua kuwafanya mazuzu-maji Watanzania zaidi ya milioni 60?Shule sio kufaulu tu ni pamoja na networking na connection. Wewe kasome kanumba na wa Feza wako tofauti wakianza maisha mtaani.Mwenzio for that 11m akitoka pale ananetwork ya walala hoi wenzie na sio choka mbaya ni mtazamo wangu tu
Dah!Nyerere alisema vyema kwamba nchi yetu inakabiliwa na maadui ^war-tar-two:^ UJINGA, MARADHI, na UMASKINI. Ujinga ni mama na baba yao, maradhi ni watoto wake identical twins!)
Uko vizuriWajinga ndiyo waliwao na msingi wa utumwa umejengeka kichwani mwa mtumwa mwenyewe.
Mtu ambaye shule hazimhusu (watoto wake hawasomi huko) hawezi kujali hata kidogo.
Yawapasa wananchi kujua hilo, vinginevyo uhuru hauna maana kwa kuwa hawajiamulii mambo yao wenyewe.
Shule ziboreshwe ili watoto wa mawaziri wasome humo humo.
Waziri ambaye watoto wake wanasoma shule za serikali, atajitahidi kuziboresha kwa kuwa zinamhusu.
Wanasiasa na wasomi wenye maamuzi wa Tanzania, wengi ni useless! Wanahubiri elimu bure, ila watoto wao wanawapeleka shule za mamilioni! Yaani wanatuona kama hatuna akili vile.Katika pitapita zangu nimekutana na video ya Anthon Mtaka akizungumza kuhusu Elimu, hii hapa chini View attachment 2289897
Nikaona kaongea ukweli fulani ,Hivi wana JF ,mtu ambae hajawahi somesha mtoto shule ya serikali hasa ya kata anawezaje akawa na mipango ya maana kuhusu hizi shule?
Kusomesha vizuri na kusomesha vibaya kupoje?
Umaanisha kwamba shule zisizotoza ada (serikali) zina elimu duni na zile zinazotoza ada kubwa zina elimu bora?
Ningependa kujua upande wa pili, yani kusomesha vibaya. Halafu mimi, nita 'correlate' na hiyo video hapo juu.
😂😂😂😂Shule za kata ni kutuandaa sisi kuja kuwa walinzi na wauza bar
HakikaHizi ni aina ya hotuba ya viongozi waliosimama katika ukweli