Limeingiaje hapa tena ?Kuna mjinga mwingine anagawa majiko ya rostam
Katika pitapita zangu nimekutana na video ya Anthon Mtaka akizungumza kuhusu Elimu, hii hapa chini View attachment 2289897
Nikaona kaongea ukweli fulani ,Hivi wana JF ,mtu ambae hajawahi somesha mtoto shule ya serikali hasa ya kata anawezaje akawa na mipango ya maana kuhusu hizi shule?
HakikaAnafaa awe waziri wa Elimu,sayansi na teknolojia.