Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,818
Mwalimu ulifeli wapi au alianza dipresheni tangu utotoni?Na amegoma kabisaaa kuandika vizuri🙆♂️🙆♂️
Mwalimu ulifeli wapi au alianza dipresheni tangu utotoni?Na amegoma kabisaaa kuandika vizuri🙆♂️🙆♂️
Mpe darasa kidogo huko tandika😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Mpe darasa kidogo huko tandika
Skuli gani hiyo tukaifungie🤣🤣😁,Labda yupo skuli je? Tutajuaje😁
Nimeshangaa sana kuona paja la uso.Kuna paja la uso na ni Mwachi analijua peke yake na hatuambii 😅😅😅
Ada nalipa mimi😂😂😂😂😂
Wee em sema kweli?Ada nalipa mimi
Niseme mara ngapi.Wee em sema kweli?
Achana na mimi uko
Majungu una yawezaNimeshangaa sana kuona paja la uso.
Huyu tumsapoti akapike hata kwenye meli za mizigo kuliko kuandika utumbo mwishowe afungwe akawe mpishi jela 😂
unao wangapi?Huwa inakera mno, mimi ndiyo maana wanagu nikitoka nawaacha nyumbani
Kulwa na Dotto hapa mtaani wananiita mama wawiliunao wangapi?
Majungu si unapikiaga mkuu, ila we jamaa unapenda mapishi yaani hata muda haujapita ushataja majungu 😂Majungu una yaweza
Upo kama Mimi Mzee Baba😅Nilivyosikia kutoka na mtoto nikajua demu,kumbe mtoto kama mtoto😂
Wafundishe tu wataelewa huna haja ya kuwanyima haki yao ya kutoka toka,Kulwa na Dotto hapa mtaani wananiita mama wawili
Achana na mimi bwna nisije kukupigaMajungu si unapikiaga mkuu, ila we jamaa unapenda mapishi yaani hata muda haujapita ushataja majungu 😂