Hivi hii kitu mmeshwai kupata experience nacho

Hivi hii kitu mmeshwai kupata experience nacho

Weye wauza vitu vya watoto wana sofa ujue😁, wakkona upo na mtoto wanajipitisha hili mtoto alilie🤣
Kumbe wenye mzanzibar umenikumbusha rafiki yangu mmoja anaitwa shufwaaa chuo , alikua ananiambia nikiwa ustadhi nitapendeza sana , bahati mbaya mimi pombe ni mwenyekiti 🤣🤣🤣
 
Kumbe wenye mzanzibar umenikumbusha rafiki yangu mmoja anaitwa shufwaaa chuo , alikua ananiambia nikiwa ustadhi nitapendeza sana , bahati mbaya mimi pombe ni mwenyekiti 🤣🤣🤣
Kwanini unapenda pombe?? Uwe ostadhi bhana😁
 
Una amua kutoka na mtoto matembezi ya kwaida una kutana na wafanya biashara hawa labda anauza vidoli vya kuchezea watoto huna ratiba na kununua iko yeye ana enda mpa mtoto achezee kumuonjesha mtoto una mkataza ataki ana anza kukupigia kelele za kilio kitu cha 2000 mtu ana kuambia 5000 kwasababu tu mtoto kalilia sasa mm nime chukua hatua ya kumpa iyo 2000 na kusepa chap hii kitu ina kela au ni mimi tu
Nimewafundisha vyema watoto wangu!!
Hawawezi kutaka kitu from nowhere,

Nimewafundisha chochote wanachotaka lazima waombe na kwenye kuomba kuna option mbili, kukubaliwa au kukataliwa.

They respect that. Hakika hatuna usumbufu
 
😁😁😁,Niliweka baada ya kunguni wa jf mmoja kunipa habari ya mie Cha wote🤣🤣🤣,

Kumbe bhana mwenyewe sijijui kama nawasambazia upendo ma bro wa jf
😂😂😂😂😂
Ndo mie niliweka status tsup, baada ya kupewa ubuyu wa moto, eti najitongozesha kwa jamaa fulani afu ni mume wa mtu..

Cha ajabu huyo jamaa, sina mawasiliano wala mazoea nae, ile salamu bas, hadi nikawaza hii in4 imelink vipi, sema jamaa ana heshima zake, nimeamua kukausha, vinginevyo ningemfata anieleze vizurii. Na nililvyo chizi angefurahi mbona.

😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂
Ndo mie niliweka status tsup, baada ya kupewa ubuyu wa moto, eti najitongozesha kwa jamaa fulani afu ni mume wa mtu..

Cha ajabu huyo jamaa, sina mawasiliano wala mazoea nae, ile salamu bas, hadi nikawaza hii in4 imelink vipi, sema jamaa ana heshima zake, nimeamua kukausha, vinginevyo ningemfata anieleze vizurii. Na nililvyo chizi angefurahi mbona.

😂😂😂😂😂
Yaani🤣🤣, sometimes unaweza jiona umevaa nguo kumbe wanazengo wanakuona upo uchi😁
 
Back
Top Bottom