Hivi hii kitu mmeshwai kupata experience nacho

Hivi hii kitu mmeshwai kupata experience nacho

Kikubwa kuwa sugu tu😁
Afu nilivyo chizi naweza mtongoza kweli, akishangaa inakuaje, namuambia mbona dunia inajua mie ba tamu wangu ni wee? Sasa tufanye kweli km waja wanavyodai.

😂😂😂😂😂😂😂
 
Nimewafundisha vyema watoto wangu!!
Hawawezi kutaka kitu from nowhere,

Nimewafundisha chochote wanachotaka lazima waombe na kwenye kuomba kuna option mbili, kukubaliwa au kukataliwa.

They respect that. Hakika hatuna usumbufu
Hongera
 
Kuna watoto wa kipekee sana, hawezi pokea ktu mpaka mkubwa aliyefuatana naye amruhusu, ukienda supermarket naye watu watashangaa sana, kila anachohitaji lazima aombe ruhusa kwanza, ukimwambia hcho hapana wala halet ubishi, ila ni wachache mno.

au nasema uongo cocastic
 
Kuna watoto wa kipekee sana, hawezi pokea ktu mpaka mkubwa aliyefuatana naye amruhusu, ukienda supermarket naye watu watashangaa sana, kila anachohitaji lazima aombe ruhusa kwanza, ukimwambia hcho hapana wala halet ubishi, ila ni wachache mno.

au nasema uongo cocastic
Uko sahihi brooh!!
 
Ndio mnaanza kuwafundisha watoto umalaya na umarioo mapema. Kama hela hauna unamwambia mtoto utamnunulia siku nyingine. Akilia mkate jicho la "undertaker" halafu mpige biti moja la hip-hop kuwa atachezea stiki asipofunga bakuli lake.

Hivi vitoto vyenu siku hizi mbona vinawapelekesha kama tumbo la kuhara. Yaani katoto kangu mwenyewe kanipelekeshe?
 
Kuna watoto wa kipekee sana, hawezi pokea ktu mpaka mkubwa aliyefuatana naye amruhusu, ukienda supermarket naye watu watashangaa sana, kila anachohitaji lazima aombe ruhusa kwanza, ukimwambia hcho hapana wala halet ubishi, ila ni wachache mno.

au nasema uongo cocastic
You speak about my kids
 
Back
Top Bottom