cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Haswaaaa!!! Unabakii kuduwaa na huelewiii.Yaani🤣🤣, sometimes unaweza jiona umevaa nguo kumbe wanazengo wanakuona upo uchi😁
😂😂😂😂😂😂
Haswaaaa!!! Unabakii kuduwaa na huelewiii.Yaani🤣🤣, sometimes unaweza jiona umevaa nguo kumbe wanazengo wanakuona upo uchi😁
Mbinu za vender wa vitu toto wanampa mtoto mkononi mtoto anaanza kuuwasha moto mpaka unajimaliza kwa kulipia na sababu tayari hukuwa tayari ndo maumivu yamekuwa mob mpaka kaona isiwe shida akaja na thread hapa trending issues.Mbona sijaelewa? Em nieleweshee
Acha tu😁,Haswaaaa!!! Unabakii kuduwaa na huelewiii.
😂😂😂😂😂😂
Hatarii, 😂😂😂😂Acha tu😁,
Kumbeee! Bas sawaa.Mbinu za vender wa vitu toto wanampa mtoto mkononi mtoto anaanza kuuwasha moto mpaka unajimaliza kwa kulipia na sababu tayari hukuwa tayari ndo maumivu yamekuwa mob mpaka kaona isiwe shida akaja na thread hapa trending issues.
Mi mtu kama sio mlevi hawezi kuwa rafiki yangu.Ndio maana wanywa pombe kila siku tunawadharau hivyo unatokaje huna hata laki tano mfukoni?😅😅😅
Kama sio mla vitu bi umbea tu gademiiitMi mtu kama sio mlevi hawezi kuwa rafiki yangu.
Na amegoma kabisaaa kuandika vizuri🙆♂️🙆♂️We kwenye uandishi ni hamna bora tu ukomae na mapishi.
Kikubwa kuwa sugu tu😁Hatarii, 😂😂😂😂
Shindiii kuna namna , hapo🤣Na amegoma kabisaaa kuandika vizuri🙆♂️🙆♂️
Kama sio mla vitu bi umbea tu gademiiit
Safi bwashee tule pombeHata mazoea siyataki, ila akiwa mlevi hata akiugua na tumejuana leo, lazima nifike kwake nimpe pole.
Tuendelee kulewa.Shindiii kuna namna , hapo🤣
Ngano haina unafikiSafi bwashee tule pombe
Mno shindii , mimi nakula pombe hatari ila one day bro wangu Evelyn Salt lazima apate hara safari moja 🤔Tuendelee kulewa.
Tofauti mimi nakula ngano ya Marekani ila wewe unakula ya kidimbwi bwashee 🤣Ngano haina unafiki
Mno shindii , mimi nakula pombe hatari ila one day bro wangu Evelyn Salt lazima apate hara safari moja 🤔
Ah unakunywa ilopanda ndege na meli ?Tofauti mimi nakula ngano ya Marekani ila wewe unakula ya kidimbwi bwashee 🤣