Hivi duniani kuna mdudu msumbufu kama KUNGUNI?

Hivi duniani kuna mdudu msumbufu kama KUNGUNI?

Hadithi ya kunguni,huwa anapandwa na dume kwa njia ya insemination,anachomwa kamwiba na dume,maeneo ya tumboni,baada ya kuchomwa tu,huwa hafanyi Tena mapenzi,yeye shughuli yake ni kutaga tu,kwa maisha yake yote pindi akishiba tu,hutaga mayai 7-8 kwa siku moja,
Akiwa kwenye mchongo wa kula ndafu vizuri huweza kuishi kwa miezi 24.
Katoto kadogo kabisa ka kunguni huweza kunywa damu vizuri sana.
Pia akinyonya damu (blood meal) moja ana uwezo wakukaa bila kula kwa kipindi cha miezi sita ,kwaiyo ukihama utamkuta anakusubiri mwili wake ukiwa mweupe kama kifungashio cha sukari..maajabu
 
Back
Top Bottom