American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 890
- 1,511
Haha huyu ni wa zamani sana! ngoma
Mdudu mbu hana mpinzani kwenye usumbufu mkuu.
Akija mgeni muhimu sana kwako ndiyo wanajitokeza kuonesha unaishi nao nyumba mojaAisee,basi wasumbufu,,,Niepushwe nao hivyo,,waendelee tu kujificha😐🙌
Ila huyo wa kike ni wa kuonewa huruma - yaani anasex mara moja tu maishani!Hadithi ya kunguni,huwa anapandwa na dume kwa njia ya insemination,anachomwa kamwiba na dume,maeneo ya tumboni,baada ya kuchomwa tu,huwa hafanyi Tena mapenzi,yeye shughuli yake ni kutaga tu,kwa maisha yake yote pindi akishiba tu,hutaga mayai 7-8 kwa siku moja,
Akiwa kwenye mchongo wa kula ndafu vizuri huweza kuishi kwa miezi 24.
Katoto kadogo kabisa ka kunguni huweza kunywa damu vizuri sana.
Je jiji la Paris nao ni wachafu kupindukia?Ufukara, umasikini na uchafu uliopindukia ni marafiki wa hawa wadudu. Ukiwaona nyumbani kwako jiulize sana!!
Noma sana 😁Akija mgeni muhimu sana kwako ndiyo wanajitokeza kuonesha unaishi nao nyumba moja
Balaa hao hapalaliki hata kidogo