Huko shule za mabweni kuna mengi ya kujifunza.Shuleni walitutesa sana hawa jamaa.
Nilikuwa naosha hadi chaga na kuimwagia maji ya moto na dawa.
Lakini usiku kwenye neti unawaona wajuba wanapanda.
Tena mida yao ni ile usiku mnene. Ndio wanapanda kwenye neti.
Sio kujifunza tuu na kufunzwa...😅Huko shule za mabweni kuna mengi ya kujifunza.
Ufukara unaingiaje huko magereza?Ufukara na hao wadudu ni pete na kidole 😎
Kabisa mkuu.Sio kujifunza tuu na kufunzwa...😅
Huko na mashuleni ni kwasababu ya uchafu , au kwako wapo hao wadudu ?Ufukara unaingiaje huko magereza?
Uwezo wa kifedha wa kununulia dawa ya kuwaangamiza, muda wa kuchemsha maji ya kuwaangamiza i.e. mtu anakuwa saa zote huko anabangaiza, kuwepo kwa mazingira rafiki kwa hao wadudu (uchafu).Uhusiano uo uko vipi
Wadudu hawa mara nyingi huishi kwenye sehemu zisizo na mpangilio, kama nyufa na maeneo mengine yaliyofichika Kwa hiyo ninaposema ufukara na hao wadudu ni kama pete na kidole namaanisha kwamba hali ya ufukara na uwepo wa mazingira ya aina hiyo huenda pamoja kwa karibu sana mkuuUhusiano uo uko vipi
Good kumbe unaelewa.Uwezo wa kifedha wa kununulia dawa ya kuwaangamiza, muda wa kuchemsha maji ya kuwaangamiza i.e. mtu anakuwa saa zote huko anabangaiza, kuwepo kwa mazingira rafiki kwa hao wadudu (uchafu).
Unawakusanyaje hadi watoshe kuwa kisusio cha ugali? manake speed yao na ile ya ngiri ni ngoma droo.Huku kwetu wanaliwa kama kisusio cha ugali...🤭
Ni mboga tam sana ukiwakaanga allo....😋
Nimekulia kijijini bwashee.Good kumbe unaelewa.