pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 7,787
- 9,401
Bora uwaskie tu Hawa ni wanajeshi kweliJamani sijawahi kuwaona kwa macho hao wadudu nawasikiaga tuu
Bora uwaskie tu Hawa ni wanajeshi kweliJamani sijawahi kuwaona kwa macho hao wadudu nawasikiaga tuu
Huyo mdudu ukimbeba mmoja tu umepeleleka jeshi nyumbaniAisee,sijawahi kuona kunguni Wala chawa.
Mkuu kumbe uko Munich nao wapitikana hao waduduWasumbufu sana hao
Mwamba yupo Germany 😁Pole mno bloangu,ndio muoge vizuri hapo ulipo sasa
Kwa boarding school inawezekana kwa kuwa tabia za wanafunzi zinaeleweka.Shuleni walitutesa sana hawa jamaa.
Nilikuwa naosha hadi chaga na kuimwagia maji ya moto na dawa.
Lakini usiku kwenye neti unawaona wajuba wanapanda.
Tena mida yao ni ile usiku mnene. Ndio wanapanda kwenye neti.
Usikute ulipo yupo na hujui hilo sababu anajua kujificha kama nyoka. Ukiona madoa ya damu yasiyo ya kawaida kwenye shuka, madoa meusi kwenye godoro , neti au chaga. Basi jua hizi ni dalili za huyu kiumbe.Aisee,sijawahi kuona kunguni Wala chawa.
Mwanetu ulikuwa na mahusiano na Warden nini?Kunguni nimewajulia CIVE Aiseeee
Ila secondary shule zilizopo sehemu ya bard haya mambo hakuna kabisa.
Cive kuna kunguni sijui sasa hvi nahisi wamebiresha naskia wameweka magodoro mapya.
Ile ishu ya kunguni ilifanya mpaka nikapata wazo la kuwa naua kunguni kama kuna watu wa CIVE hapa nazani watanijua .
Nilikua najiita mr cleaner nilikua napiga hawa wadudu kiasi ambacho nikifika room tuu wadudu wanajua kumbiana "" Amekuja the punisher amekuja jamani kimbieni""
Dawa nilizokua natumia aiseee ni hatare an mpaka wakaniamini yaan mpaka uongozi wa madom wakaniamini nikawa sasa natambilika mpaka na ma waden.
Na hapa ndo nitakuja kutoa kisa cha kuanza kupenda mashangazi baada ya kutoka chuo....
kwenye maduka ya pembejeo za kilimo utakutana na sumu kibao za kuwaua kunguni...Ukipata sumu kama Dudu accelamectin (yenye kiambata cha Abamectin na Acetamiprid) changanya na maji kisha wapulizie...wanakufa wao na mayai yao.. kichupa cha Robo hakizidi sh 8000Uwezo wa kifedha wa kununulia dawa ya kuwaangamiza, muda wa kuchemsha maji ya kuwaangamiza i.e. mtu anakuwa saa zote huko anabangaiza, kuwepo kwa mazingira rafiki kwa hao wadudu (uchafu).
Hapana waden ni wa kiume mkuu..Mwanetu ulikuwa na mahusiano na Warden nini?
Hao hata usipokilalia kitanda chako kwa miezi sita ukirudi utawakuta wapo wanakusubiri.Shuleni walitutesa sana hawa jamaa.
Nilikuwa naosha hadi chaga na kuimwagia maji ya moto na dawa.
Lakini usiku kwenye neti unawaona wajuba wanapanda.
Tena mida yao ni ile usiku mnene. Ndio wanapanda kwenye neti.
Jiji la Paris miaka miwili iliyopita lilivamiwa na hawa wadudu mpaka wananchi wakaandamana sababu ilikuwa ni ufukara ?Ni ishara ya ufukara!
Ishara ya ufukara!...Jiji la Paris miaka miwili iliyopita lilivamiwa na hawa wadudu mpaka wananchi wakaandamana sababu ilikuwa ni ufukara ?
Anajizalisha?🤣🤣Huyo mdudu ukimbeba mmoja tu umepeleleka jeshi nyumbani
Aisee,basi wasumbufu,,,Niepushwe nao hivyo,,waendelee tu kujificha😐🙌Usikute ulipo yupo na hujui hilo sababu anajua kujificha kama nyoka. Ukiona madoa ya damu yasiyo ya kawaida kwenye shuka, madoa meusi kwenye godoro , neti au chaga. Basi jua hizi ni dalili za huyu kiumbe.
Unaweza kuwapata kwenye siti za daladala, makochi au vyumbani ukiwa ugenini au kijijini. Wakatulia tulj ukarudi naye nyumbani kwako, wakifika hawajioneshi wanatafuta mahali mbali wanazaliana vya kutosha. Ukija kumwona mmoja jua kuna jeshi. Wanakaa kwenye nguo, viatu, godoro kitandani, vifaa vya umeme..