Guerilla tactics hit and runAnashambulia na kujificha
Kunguni 🙌🏿🙌🏿🤪
Daah nilikua sijui kama kunguni ana maisha marefu hivyo miezi 24 mingi sana aisee ndio maana wanaweza kusoma mazingira ya muhuni anayoalala ili wamvamie..Hadithi ya kunguni,huwa anapandwa na dume kwa njia ya insemination,anachomwa kamwiba na dume,maeneo ya tumboni,baada ya kuchomwa tu,huwa hafanyi Tena mapenzi,yeye shughuli yake ni kutaga tu,kwa maisha yake yote pindi akishiba tu,hutaga mayai 7-8 kwa siku moja,
Akiwa kwenye mchongo wa kula ndafu vizuri huweza kuishi kwa miezi 24.
Katoto kadogo kabisa ka kunguni huweza kunywa damu vizuri sana.
Sawa kabisaHadithi ya kunguni,huwa anapandwa na dume kwa njia ya insemination,anachomwa kamwiba na dume,maeneo ya tumboni,baada ya kuchomwa tu,huwa hafanyi Tena mapenzi,yeye shughuli yake ni kutaga tu,kwa maisha yake yote pindi akishiba tu,hutaga mayai 7-8 kwa siku moja,
Akiwa kwenye mchongo wa kula ndafu vizuri huweza kuishi kwa miezi 24.
Katoto kadogo kabisa ka kunguni huweza kunywa damu vizuri sana.
Hao ni nini mkuuShuleni walitutesa sana hawa jamaa.
Nilikuwa naosha hadi chaga na kuimwagia maji ya moto na dawa.
Lakini usiku kwenye neti unawaona wajuba wanapanda.
Tena mida yao ni ile usiku mnene. Ndio wanapanda kwenye neti.
Katoto kadogo kabisa ka kunguni huweza kunywa damu vizuri sana.Hadithi ya kunguni,huwa anapandwa na dume kwa njia ya insemination,anachomwa kamwiba na dume,maeneo ya tumboni,baada ya kuchomwa tu,huwa hafanyi Tena mapenzi,yeye shughuli yake ni kutaga tu,kwa maisha yake yote pindi akishiba tu,hutaga mayai 7-8 kwa siku moja,
Akiwa kwenye mchongo wa kula ndafu vizuri huweza kuishi kwa miezi 24.
Katoto kadogo kabisa ka kunguni huweza kunywa damu vizuri sana.