Hitler aliwekeza katika kutafuta nguvu za miujiza na uchawi kwa kuwatuma watu wake duniani kote wakazisake ila hawakuambalia chochote.

Hitler aliwekeza katika kutafuta nguvu za miujiza na uchawi kwa kuwatuma watu wake duniani kote wakazisake ila hawakuambalia chochote.

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,375
Reaction score
28,484
Alifanya hivi ili iweze kumsaidia katika ambition yake ya kuitawala ulaya nzima.

ila wewe 35+ bado unaaamini haujapata mganga mzuri na mafuta uliochukuwa kwa ben haukuyaambatanisha na sadaka nzuri ndio maana tabu hazijaisha
 
Kwenye haya maisha watu hutofautiana experience zao za kimaisha kila mmoja anaweza kuongea la kwake kutokana na experience yake, ndio maana pia tunasema maisha sio ya kuyakariri.
 
Kwenye haya maisha watu hutofautiana experience zao za kimaisha kila mmoja anaweza kuongea la kwake kutokana na experience yake, ndio maana pia tunasema maisha sio ya kuyakariri.
Maisha ni uhalisia kwa nini upoteze muda katika mafikirio
 
Maisha ni uhalisia kwa nini upoteze muda katika mafikirio
Ndio kabisa Maisha ni uhalisia na ndio maana watu hutofautiana experience zao kwenye uhalisia wa maisha, alichopitia A na kikamjenga kuwa hivyo alivyo sasa hivi haina maana B naye atapitia humo humo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom