chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,824
- 3,847
Ni kama nakufahamu hiviM
Mie mfipa nikimalizana naye Nampa mwanangu ubini wa home.
Tell you what Wangari... i fall for you every now and again😍😍😍 Nimekupenda... you are the finest!Mkuu unamuattack san huyu mdada..simama kama mdogo wako wa kike au hata mwanao..sio vizuri kumuita majina ya ajabu ajabu mara single mama mara sijui hutishwi na maneno ya mtu alokosa direction ..hapana kwakweli..ana mzigo mzito sana acha kashfa ..am sorry kama nimekukwaza
Umetumia misingi ipi MkuuKusoma kote hujaelewa tu kuwa huyu dada yetu ndio Kimeo?
Daaa pole saana huenda uko sawaImagine umekutana na mtu Hana mbele Wala nyuma,umemkubali jinsi alivyo,wakati huo una ajira yako,una kagari,unamwezesha inapobidi,unampa mbinu za kupambana,unakomaa naye ilhal Hana kitu,mnazaa,mnashindwana,unaamua kumove on,na mwanao,yanatokea ya kutokea kazini ,unamface kwasababu Hali tete ili asaidie mwanae kielimu,anakupiga mapicha picha akisaidiana na kahaba lililomkuta tayari ushamweka poa,wanaenda mbali kutaka kumdhuru mwanao,halafu niendelee kukaa kimya Kama mjinga?hapana katavi inahusika🙏
Ndio mtoa mada nini umebadilisha ID maana naona mtoa mada kakimbia wewe ndio unapangua hojaUmetumia misingi ipi Mkuu
Imagine umekutana na mtu Hana mbele Wala nyuma,umemkubali jinsi alivyo,wakati huo una ajira yako,una kagari,unamwezesha inapobidi,unampa mbinu za kupambana,unakomaa naye ilhal Hana kitu,mnazaa,mnashindwana,unaamua kumove on,na mwanao,yanatokea ya kutokea kazini ,unamface kwasababu Hali tete ili asaidie mwanae kielimu,anakupiga mapicha picha akisaidiana na kahaba lililomkuta tayari ushamweka poa,wanaenda mbali kutaka kumdhuru mwanao,halafu niendelee kukaa kimya Kama mjinga?hapana katavi inahusika
Hebu soma vizuri stori pale juu...Unafikiri Mungu ndiyo anauendekeza huo ujinga wa kuzalisha mwanamke kisha unatelekeza mtoto
Nikakutana na kijana mmoja,nilimtangulia chuo mwaka mmoja,akiwa kwenye mishe za yeye naye kutoka, nikamsapoti sana, tukawa wapenzi,nikashika ujauzito, Hadi kuzaa, ingawaje yeye alisita kwakuwa alikuwa Hana mbele Wala nyuma, nikamwambia relax, tuzae tutajua ya mbeleni.
Kila nikioma hii id nakumbuka pale umeenda kula kwa mama ntilie...ukakuta startv wanakipindi cha tuition ukamwambia mama lishe abadili akakujibu kula uondoke..iko siku nitaurudia ule uzi nicheke tena dah
Katika watu story teller humu ni ww..hebu siku uje ueleze aisee...hongera..unaonakena unashukuru hata kama kwa kidogo na kujaliyule mama alikuwa kauzu sana. Ila cha ajabu mbeleni alikujaga kuwa mtu muhimu sana kwangu, na sitoweza kuja kumsahau. Pengine huko mbeleni naweza kuja kuelezeaga the other side of my life.
DuhWanaune mda mwngne tunajitoaga Akili tu,Uyu dada hana tatizo bora aende uko kwa Sangoma ili akili imkae sawa uyo jamaa
Kwanini?Yani mwanamke akikusaidia kimaisha ni shida kuliko shida zenyewe
Kuna muda life letu linaenda ndivyo sivyo, kumbe tushatengenezwa kwa waganga hukuUtakoma
Watanzania kwa mikwara tu hawajambo.Had ukoo tena, kuna nini jmn
Tunataka evidence ilo bomu lako likifanya kazi. Nipo kwenye researchSijahisi ni kweli,that's y nimekasirika
Basi kama mzaz mwenzako naye anahangaika bas atafeli..mm najua uchawi ukiuendekeza unakupata usipouendekeza walaaa....ika utuoe majibu jaman tuje tusikie radi zimepiga dar🗯Tatizo mzee kanambia nitulie kwanza akamilishe kazi,manake huyu bwege naye anahangaika,Ila lazima tumdhibiti,nimeshtak kwa wazee wamesema Kama ni kweli itajibu tu,na ishu ni kwel so asubiri mlio,katavi hakudanganyi.
Moyo wenye shukrani na kuridhika, ni moyo wenye furaha sana.Katika watu story teller humu ni ww..hebu siku uje ueleze aisee...hongera..unaonakena unashukuru hata kama kwa kidogo na kujali