Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 558
- Thread starter
-
- #281
Hapana watakiwa kuripot mwenyewe,Ila unaenda ripot Nini Sasa ikiwa hata mtoto huna,huna mume,huna alokukosea,unaenda ripot Nini?Mkuuu...Mimi Sina Mume Sina mtoto...na Sina hela[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..
Ndo maana nakwambia UNIFANYIE udalali huko kwa mganga wako....nikitumie angalau jina namimi unirogeeee[emoji3][emoji3][emoji3]
Wallahi life is hard
Apozile,kausha si wanahisi masijala🤣nikimkosa katavi naenda ngende kwa baba hahahahahAwe ningoooo, apozile wio?
Mkuuu walonikosea Ni wengi Sana ...Ila Mimi nshakosea wengi pia... Labda waliniroga...Mimi haya Mambo ya kurogana sitaki yawe part ya Maisha yangu....Hapana watakiwa kuripot mwenyewe,Ila unaenda ripot Nini Sasa ikiwa hata mtoto huna,huna mume,huna alokukosea,unaenda ripot Nini?
Sasahivi hili ndio Jambo langu la msingi hahahah mzee ana dstv anaona klia bila chenga 🤣Unajuaje..inamaana Kuna watu wanakupa.taarifa?... Au ndo unaangalia kwenye kioo Cha mganga wa katavi....?
Elekeza nguvu kwenye Mambo ya msingi
Sawa ukipata mtoto halafu mtu akapanga kumdhuru utaelewa,inaumaaa.Mkuuu walonikosea Ni wengi Sana ...Ila Mimi nshakosea wengi pia... Labda waliniroga...Mimi haya Mambo ya kurogana sitaki yawe part ya Maisha yangu....
Kama KWELI nimedhulumiwa...Basi naomba Dua kwa Allah....
Lakini sipendi kuombea watu mabaya... Sipendi kabisa...najikataza sana
Kabisa.Malez ya familia tabia ya kupenda waganga inatokana na wazaz, bibi na babu, in short ukooo
Hakuna sijawahi fatilia hayo mambo,wamenifocKabisa.
Kipepeo wa chuma ukiachwa achika using'ang'ane kama rubaSaa Tisa naingia njia ya msalaba vizuri tu,Ila lazima limpate,hata akienda wapi lazima anyooshwe🤣🤣
Aisee uzi umeisha umemaliza kila kitu mkuu... awa mm mke wangu nilimkuta na mtoto ila yule mwamba alumkataa mtoto now dogo ni Private wa Jeshi na jeshini nimemuingiza mwenyewe juzi ananiambia baba nikifikisha miaka miwili nachukua usafiri nikamwambia jenga kwanza chaa ajabu nimemlea yule mtoto kuanzia akiwa na miaka 3 mpaka saizi ni mtu mzima ana miaka 22 ana ajira yake juzi baba mzazi wa yule dogo kanipigia mm anataka tuongee mana dogo apokei cm za baba ake wala hataki kuongea nae analia yule jamaa anasema mtoto wake amjali ananijali mm tu na mama ake aisee aya mambo yapo chamsingi dada angekausha tuu amlee mtoto wake mwenyewe why angaike na uyo jamaaa aisee ni aibu kwa kweli...unapiga cm cjui ada cjui nn uyo jamaa ajui kama ana mtoto ajui majukumu yake dah ni tabu kwa kweli...Ushauri wangu, achana kabisa na kujishughulisha na huyo jamaa na wala usiwasiliane nae kwa lolote. Hakuna kitu kibaya kama una mwanaume akasikia unawasiliana na mzazi mwenzako sijui kwa ajili ya ada au kwa lolote lile. Mtu anaweza kukaa kimya tu ila inamuuma sana moyoni kuliko hata kuchomwa na kisu.
Ni bora mkubaliane na uliye nae mkagharamia gharama zote za matunzo na ada za mtoto, otherwise hata kama mtu wako wa sasa akiwa kimya elewa kuwa analia moyoni kila akisikia unadai ada au mawasiliano yoyote yale
Wanaume tuko tofauti sana na uwa tuna fake sana machoni ila moyoni tunaumia mno. Binafsi mie nimeanzisha utaratibu rasmi wa kwenda Bagamoyo ufukweni kulia peke yangu mtu akinizingua ile mizunguzi mikubwa. Nafanya hivyo ili nisije kuumwa pressure au sukari kwa kupambana na mazito ya moyoni
Nadhani hapa nimekushauri vizuri.
Kingine achana na visasi yameshatokea hayo jaribu kuwa muungwana na uendelee na maisha yako usirudi nyuma sijui nitakachomfanyia mpk ndugu zake watakusanyika hayo maneno yana ku-define vibaya mbele ya wasomaji na unaonekana umeshindwa ku-move on bila huyo mtu na ndio maana umekuja mpk na hii topiki
Tulia kaa chini panga maisha yako yaliyotokea yametokea, mwisho wa siku hata huyo mwanaume uliyompata utakuwa unamboa na hayo machuki na mavisasi uliyonayo
Safi nzuri iyo...Pole sanaa pambana lea mwanao ,mimi niliachana na mzazi mwezangu nikaoa ,ilaa huyu ex sasa hana busara hata kidogo akiamua tu anajiunga bundle anivuruge na kunitukana anavyotaka .
Usije ukawa type hii afuu jamaa hana haruma na mtoto na anamshirikisha mke wake jinsi unavyomvuruga .
Binafsi pamoja na yote siwez kutomjali mtoto wangu ,na mke wangu wa ndoa ingawa anajua alinikuta na mtoto lkn story za mwanangu huwa sijawah ziongelea na hataokuja zisikia namalizana na mamake
Navuta mda mtoto akimaliza darasa la saba miaka mi tatu ijayo naachana kabsa na mamake naongea na mtoto mambo yake atayohitaji nampa yeye.
Soma uelewe Uzi usiparamie mwendokasi dogo,unadhan kila mtu anaishi manzese kwa mfuga mbwa akishindia miguu ya kuku?nafanya kwa heshima ya mwanangu🤣wamechokoza katavi na ngende 🤣🤣Kipepeo WA chuma ukiachwa achika using'ang'ane kama ruba
Tatizo wameenda kutaka kumkausha mwanangu,mbona nilikausha kitambo nikawa nahangaikia yangu,kinyago nilichokichonga hakinitishi.Aisee uzi umeisha umemaliza kila kitu mkuu... awa mm mke wangu nilimkuta na mtoto ila yule mwamba alumkataa mtoto now dogo ni Private wa Jeshi na jeshini nimemuingiza mwenyewe juzi ananiambia baba nikifikisha miaka miwili nachukua usafiri nikamwambia jenga kwanza chaa ajabu nimemlea yule mtoto kuanzia akiwa na miaka 3 mpaka saizi ni mtu mzima ana miaka 22 ana ajira yake juzi baba mzazi wa yule dogo kanipigia mm anataka tuongee mana dogo apokei cm za baba ake wala hataki kuongea nae analia yule jamaa anasema mtoto wake amjali ananijali mm tu na mama ake aisee aya mambo yapo chamsingi dada angekausha tuu amlee mtoto wake mwenyewe why angaike na uyo jamaaa aisee ni aibu kwa kweli...unapiga cm cjui ada cjui nn uyo jamaa ajui kama ana mtoto ajui majukumu yake dah ni tabu kwa kweli...
Ebhana ww umejuaje kama walitaka muuwa uyo mtoto????Tatizo wameenda kutaka kumkausha mwanangu,mbona nilikausha kitambo nikawa nahangaikia yangu,kinyago nilichokichonga hakinitishi.
Story yako nimeisoma vizuri sana,kusema kweli huyo jamaa itakuwa alikuwa hakupendi sema ni vile ulimkuta na shida zake nyingi akawa hana namna zaidi ya kujibanza na ww.....Soma uelewe Uzi usiparamie mwendokasi dogo,unadhan kila mtu anaishi manzese kwa mfuga mbwa akishindia miguu ya kuku?nafanya kwa heshima ya mwanangu🤣wamechokoza katavi na ngende 🤣🤣
[emoji16]Tena radi ya buku 5 tu hahahah
[emoji16][emoji16][emoji16] nakupinga wapi role modelUnapenda kunipinga boss. Ni namba tu
Sijataka anipende nilitaka alee mwanae tu,akagoma,nikapotezea,Sasa kutaka niulia mwanangu,hapana nitakuwa mzembe!Story yako nimeisoma vizuri sana,kusema kweli huyo jamaa itakuwa alikuwa hakupendi sema ni vile ulimkuta na shida zake nyingi akawa hana namna zaidi ya kujibanza na ww.....
Alafu punguza hasira na sisi tunazo vile vile
ofisini kitambo[emoji16][emoji16][emoji16] nakupinga wapi role model
Ila Sasa hivi Hana hela Sasa siunasikia kuwa kazi alisimamishwa
Akidate na mimi kazi lazima apate.[emoji16][emoji16][emoji16] nakupinga wapi role model
Ila Sasa hivi Hana hela Sasa siunasikia kuwa kazi alisimamishwa