Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Ukisahau haki sili kwa masaa manne.
hahahah una mkwala weye.....yaani masaa manne tu?? Haya mama mchungaji nishakuPM......nisijekosa mwangalizi bure lol!
Ukisahau haki sili kwa masaa manne.
pole weee...ndo ukubwa huo...kua busy na mambo yako kama kusoma somaaaa weee,kama unaanya biashara ongeza juhudi... jipe raha mwenyewe kaa vizuri na ndg zako.....ukishasahau yote ndo anza kufind mpnz.
Hivi NazJaz alisharudigi ile vekesheni na super-boifrend wake?
Hivi NazJaz alisharudigi ile vekesheni na super-boifrend wake?