Historia ya maisha yangu. sina raha.

pole weee...ndo ukubwa huo...kua busy na mambo yako kama kusoma somaaaa weee,kama unaanya biashara ongeza juhudi... jipe raha mwenyewe kaa vizuri na ndg zako.....ukishasahau yote ndo anza kufind mpnz.

si amesema alikuwa na miaka 16 jmn au.....
 
laiti km kila mtu angesema kile ambacho alishawahi kukifanya afu kikamkosesha aman sana bc tungeshika sana midomo na kujua kweli dunia inamaliza muda wake
 
pole sana ndio maisha lakini usifanye historia iharibu maisha/furaha yako tulia tafakari yachukue in a positive way yakufanye mwanamke jasiri.i
 
Pole.Tulia kwanza,achana na wapenzi hawatakusaidia kwa sasa.Tafuta mtu mzima mwenye busara(mchungaji/mama mchungaji/shehe/mama shehe) au ikiwezekana mwanasaikolojia,mweleze na upate ushauri nasaha zaidi ya hapa JF.
Nasisitiza tafuta mtu mzima mwenye busara zake...wengine ni mafisadi..
 
...mh!hii ni balaa..mungu epusha hii kitu mbali kabisa...

apo juu ziondaughter...najaribu kuielewa point yako...!
 
pole jamani...... ila ni tabia mbaya sana, cha\fu kabisa... tena ya kufisha... ya kutia kinyaaa sana. janani!!!!!!!!!!! """NA ALAANIWE ALALAYE NA UMBU LAKE, BINTI YA BABAYE, AU BINTI YA MAMAYE. NA WATU WOTE WASEME, AMINA. Kumbukumbu la Torati 27:22""" ukiweza waweza kusoma sura nzima ya 27. au tena ngojeni::: HII HAPA JAMANI SIO MIMI MSIJESEMA NIMETUNGA BURE:-
Madhabahu katika Mlima Ebali Mose na wazee wa Israeli wakawaagiza watu: “Yashikeni maagizo haya yote ninayowaagiza leo. 2Mtakapokuwa mmevuka mto Yordani na kuingia katika nchi awapayo BWANA Mungu wenu, msimamishe mawe makubwa na mkayatie lipu. 3Andikeni juu yake maneno yote ya sheria hii wakati mtakapokuwa mmevuka na kuingia katika nchi awapayo BWANA Mungu wenu, nchi itiririkayo maziwa na asali, kama vile BWANA Mungu wa baba zenu, alivyowaahidi. 4Mtakapokuwa mmevuka Yordani, simamisheni mawe haya juu ya Mlima Ebali, kama ninavyowaagiza leo, mkayatie lipu. 5Huko mjengeeni BWANA Mungu wenu madhabahu, madhabahu ya mawe. Msitumie kifaa cho chote cha chuma juu yake. 6Jengeni madhabahu ya BWANA Mungu wenu kwa mawe ya shambani na mtoe sadaka za kuteketezwa juu yake kwa BWANA Mungu wenu. 7Toeni sadaka za amani juu yake, mkizila na kufurahia mbele za BWANA Mungu wenu. 8Nanyi mtaandika juu yake kwa wazi sana maneno yote ya sheria hii juu ya mawe haya ambayo mmesimamisha.’’
Laana kutoka Mlima Ebali.
9Kisha Mose na makuhani, ambao ni Walawi, wakawaambia Israeli wote, “Nyamaza Ee Israeli, sikiliza! Sasa umekuwa taifa la BWANA Mungu wako. 10Mtii BWANA Mungu wako na kufuata amri zake na maagizo ninayokupa leo.’’
11Siku ile ile Mose akawaagiza watu:
12Mtakapovuka mto Yordani, makabila haya yatasimama juu ya Mlima Gerizimu kubariki watu: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yosefu na Benyamini. 13Makabila haya yatasimama juu ya Mlima Ebali kwa kutamka laana: Reubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dani na Naftali.
14Nao Walawi watawasomea watu wote wa Israeli kwa sauti kubwa:
15“Alaaniwe mtu afanyaye sanamu ya kuchonga au mwenye kusubu sanamu, kitu ambacho ni chukizo kwa BWANA, kazi ya mikono ya fundi stadi na kuisimamisha kwa siri.’’
Kisha watu wote watasema,
“Amen!’’
16“Alaaniwe mtu amdharauye baba yake na mama yake.”
Kisha watu wote watasema, “Amen!’’
17“Alaaniwe mtu asogezaye jiwe la mpaka wa jirani yake.’’
Kisha watu wote watasema,
“Amen!’’
18“Alaaniwe mtu ampotoshaye kipofu njiani.’’
Kisha watu wote watasema,
‘‘Amen!’’
19‘‘Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane.’’
Kisha watu wote wataseme,
“Amen!”
20“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili namke wa baba yake, kwa maana anadharau malazi ya baba yake.’’
Kisha watu wote watasema,
“Amen!’’
21“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mnyama ye yote.’’
Kisha watu wote watasema,
“Amen!’’
22“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na dada yake, binti wa baba yake au binti wa mama yake.’’
Kisha watu wote watasema,
“Amen!’’
23“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mama mkwe.’’
Kisha watu wote watasema,
“Amen!’’
24“Alaaniwe mtu amwuaye jirani yake kwa siri.’’
Kisha watu wote watasema,
“Amen!’’
25“Alaaniwe mtu apokeaye rushwa ili kumwua mtu asiye na hatia.’’
Kisha watu wote watasema,
‘‘Amen!’’
26“Alaaniwe mtu ambaye hatashika maneno haya ya sheria hii kwa kuyafanya.’’
Kisha watu wote watasema,
“Amen!’’
 
Ulichofanya ni zinaa, labda ulidanganywa kwa kuwa umdogo> siamini kama kuna mtoto wa kike wa mika 16 akawa ***** kiasi hicho hususan ambae ana "akili sana darasani".

Vile vile hainiingii akilini kuwa ulipitiwa na usingizi ukasikia "maumivu makali", hapo hukusema ukweli. Sema tu, uliregea kwa "N***e" za u sweet 16, hiyo age mama tumeipitia, ukishindwa kujichunga hapo basi ujuwe ndio yanakukuta hayo yaliyokukuta.
Nawasikitikia sana na wazee waliokuruhusu ukacheze mziki wakati bado ni mwanafunzi, nadhani hiyo ni very norm kwenye family yenu lakini si mambo ya kawaida kwenye jamii. "Jamii za kitanzania zipo diversified" ki dini, kikabila, ki maadili. Kuna watu utaona mtoto mdogo kabisa wanaingia nae "bar", nchi zingine ni kosa la jinai, au family zingine mtoto mdogo anapewa kilevi, kwao ni sifa.

Kwa mifano hiyo inaonesha hiyo family yenu ni kawaida kutoka kwenda muziki hata mngali wadogo wa kwenda kwenye mziki ki sheria na wazee wamewaruhusu (nijuavyo Tanzania ni miaka 18) kwa hayo na mpaka kufikia zinaa ya wenyewe kwa wenyewe sioni kama wewe utaona kuna ajabu hapo.

Ni vigumu kuelewa, ingawa huyo "kaka" yako si wa damu (kama nimeelewa sawa) ilikuwa mlinde heshima na muoane kama ni kweli mnapendana, kwa kuwa yameshatokea yaliyotokea, inabidi uchunge sana kwenye maisha yako na ubadilike kiukweli kwani wanao wanaweza kuyarithi hayo maovu kama ni kitu cha kawaida.

Uliyoyafanya umeyafanya kilichobaki ufanye toba, na upate mume uolewe kihalali, hii mihogo mingine michungu jamani.
 
..jamani wewe!!!!..sijui ngoja kwanza nirudie tena kusoma manake unasisimua..but nadhani njia rahisi kwa sasa ondoka nyumbani uje ujichanganye huku kwetu inaweza kusaidia..
 
Pole sana,tambua tu katika maisha kuna kujikwaa. Na siku zote ukijikwaa unapaswa kuamka na kusonga mbele. Kwa hiyo wewe inuka na usione lililokukumba ni kubwa sana. Tambua kuwa kuna watu wameshapata matatizo ambayo wakiamua kuyaelezea hakika utashangaa na kuona la kwako ni dogo.
Kikubwa unapaswa kusonga mbele.
 
Pole sana bibie jitahidi uwachane na hali kama hiyo kwa kujishughulisha ktk masomo na pia achaa kufikilia upuuzi uliokua unafanya na huo boya coz alishidwa kutogoza mademu wengi mpaka anakula kifaraga chezake omba usamehewe.
 
Pole sana naona baada ya kupata huo mshtuko bado akili hazijakaa sawa, na usikarakishie kwenye mapenzi mengine la sivyo utakufa na ukimwi kaa tulia na sahau kila kitu then uanze tena hata kutafuta mwanaume wa kutulia nae
 
Nadhani wana JF baadhi tumetumia approach nzuri ktk tatizo la dada lkn wengine tumeenda mbali zaidi na hata kupotoka na kumnenea dada yasiyofaa wakati ni binadamu huyu.Kwa kumwambia amelaaniwa unamsaidia nini?Huyu bado anaishi,hivyo anahitaji kuelekezwa wapi alijikwaa,vipi asimame na kusonga mbele.Dada mtoa mada umemkosea Mungu kama mkosaji yeyote,hivyo tubu na songa mbele.Nothing is unforgivable before God as long as you are still alive.Natamani ningekuona uso kwa uso.
 
Binti yangu Golden Mpolee, nakushauri utulizane, uweke focus yako katika katika kumuenzi Mwenyezi Mungu na kutenda mambo mema, na uyakemee mawazo yote potofu yatakayotaka kukushawishi ufanye ufusika au ufisadi, na zingatia jambo kuu, kujijenga kimaisha. Ukishajijenga kimaisha na jamii ikakuona una tabia nzuri, mbona mume mwadilifu utampata tu. Kwa ushauri zaidi nitumie PM.
 
Back
Top Bottom